Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

MSIBA: MBUNGE WA LUDEWA DEO FILIKUNJOMBE NA RUBANI WAKE WAFARIKI KATIKA AJALI YA HELIKOPTA

$
0
0
Chopa ya CCM iliyokuwa imembeba mhe.Deo Filikunjombe kutokea Dar kwenda Ludewa, jana jioni ilianguka katika Hifadhi ya Selous na leo Meya Jerry Silaa ameandika kwa masikitiko kuwa Baba yake ambaye ndio alikuwa Rubani wa hiyo Chopa pamoja na abiria wengine akiwepo Mbunge Deo wamefariki dunia. Hili ni pigo kubwa.
Taswira za kuhuzunisha kutoka eneo la tukio

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

Trending Articles