Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

MHE.ANNA MAKINDA: SITAGOMBEA KUWA SPIKA WA BUNGE LA 11

$
0
0
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Anne Makinda akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam kuhusiana na kuachana na uongozi katika siasa.
ALIYEKUWA Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Anne Makinda amejing'atua rasmi na kuachana na uongozi katika siasa kutokana na kufanya kazi za Siasa kwa miaka 40.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

Trending Articles