Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

MV BUKOBA-TUTAWAKUMBUKA DAIMA

$
0
0
Tanzania tutakumbuka daima ajali mbaya ya Meli ya MV.Bukoba iliyotokea 21.05.1996 kilomita chache kutoka Bandari ya Mwanza. Meli hiyo ilikuwa inatoka Bukoba kuelekea Mwanza. Watu wengi walipoteza maisha yao akiwemo Mjomba angu Mpendwa. Mjomba na wote waliofariki mpumzike kwa amani. Amina

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

Trending Articles