Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIJEMBE KWA WACHEPUKAJI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MV BUKOBA-TUTAWAKUMBUKA DAIMA

Tanzania tutakumbuka daima ajali mbaya ya Meli ya MV.Bukoba iliyotokea 21.05.1996 kilomita chache kutoka Bandari ya Mwanza. Meli hiyo ilikuwa inatoka Bukoba kuelekea Mwanza. Watu wengi walipoteza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAFARI KUELEKEA ELIMU BORA KATIKA MAZINGIRA MAZURI BADO NDEFU

Hawa ni wanafunzi wa shule mojawapo Mkoani Singida ambayo wanajifunza katika darasa lililoezuliwa paa kama wanavyoonekanaKwa mtindo huu, hii katuni inaleta taswira(katuni kwa hisani ya Nathan Mpangala)

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUJISIFU KWINGINE JAMANI UUH

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAZI NI KAZI BORA MKONO KINYWANI

Katika nchi ya wajisiriamali kama yetu, suala hili sio geni kwani kuwajibika katika kutafuta maisha bora ni kwa kila njia ili mradi ni halali

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IJUMAA NJEMA WADAU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIONGOZI NI MFANO NA UNYENYEKEVU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKUJIAMINI

Wakati mwingine tunakuwa watumwa wa mali zetu wenyewe na hata kuwa wachoyo kimatumizi na hivyo kujikuta tunachelewesha maendeleo. Unapokuwa nacho tumia ipasavyo japo kwa uangalifu lakini sio kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MTEULE WA AFRIKA KUSINI MHE.JACOB ZUMA KUAPISHWA LEO

Mhe.Rais Jakaya Kikwete aliwasili nchini Afrika Kusini kuhudhuria sherehe za kuapihwa kwa Raisi Jacob Zuma.Rais mteule wa Afrika Kusini Jacob Zuma anaeapishwa leo kuwa rais kwa kipindi kingine cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

REAL MADRID MABINGWA UEFA 2014

Timu ya Real Madrid imefanikiwa kuchukua Kombe la UEFA 2014 usiku huu baada ya kuwacha Atletico Madrid kwa Mabao 4 - 1 huko Lisbon,Portugal.Bado la mwisho ambalo lilifungwa katika kipindi cha dakika 3o...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAWATAKIA JUMAPILI NJEMA

Hawa sijui wanaelekea kanisani kweli au!? Na hii ndo staili mpya ya Mshikaki katika Bodaboda. Hatari kweli kweli.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMEKUCHA TUKAWAJIBIKE

Kwa wafugaji wa kuku tuwahi kwenye mabanda ya kuku wetuChukua usafiri wowote uliopo na kama hamna tembea kwa miguuKwa wakulima mashambani, mungu katupatia ardhi nzuri yenye rutuba twendeni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASICHANA ASILIA HUKO WILAYANI HANANG MKOANI MANYARA

Tudumishe mila zetu hasa zile zilizo sahihi na zisizo na upotoshaji wowote kiuchumi na kijamii.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUDUMISHE MILA 1

Akina mama na wasichana wa huko Babati Mkoani Manyara wakiwa katika mavazi yao asilia

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KITUO CHA DALADALA MWENYE KUFUNGWA RASMI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAR ES SALAAM KABLA YA MWAKA 1900 NA ILIVYO SASA

Na hapa chini ni Dar ilivyo miaka ya karibuni. Bado vikwangua anga vingi vinaendelea kujengwa

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WETU WATOKA NJE TENA

Ukumbi wetu wa Bunge umekuwa sehemu ya kususiwa kila mara. Leo tena katika vikao vya Bunge la Bajeti baadi ya wabunje wa Kambi ya Upinzani wasusia mjadala wa Uwasilisjwaji wa Bajeti ya Wizara ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUJIKUMBUSHE MAKABILA YA WATANZANIA

Tanzania ina zaidi ya Makabila 120 katika mikoa yake. Ila Tumshkuru Mwl.Nyerere kwa kutuunganisha Watanzania kwa kutumia na kueneza lugha ya kiswahili. Sasa twaishi kwa amani na maelewano

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FANYENI KAZI BILA KUCHOKA

Pamoja na kwamba weekend imefika, bado ni muda wa kupambana na maisha maana kila siku mpya maisha yanazidi kuwa magumu hasa kwa wenye kipato kidogo

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYOTA NJAMA HUONEKANA ASUBUHI

Watoto hawa japo wanaanza katika mazingira magumu lakini wakikuza vipaji vyao watakuwa wasanii wazuri sana baadae. Tuwape moyo na panapowezekana tuwasaidie kufanikisha ndoto yao.

View Article
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live