MFANYAKAZI: samahani Boss leo sitaweza kuja kazini maana ninapoishi maji yamejaa kila mahala hakuna pa kupita. Nipo kama kisiwani hapa.
BOSS: Nakumbuka ulipokuwa unaomba kazi uliorodhesha moja ya vitu unavyopendelea (Hobby) ni kuogelea. "Tukutane kazini"
Hakuna namna itabidi kutumia mbinu hii kufika kazini. Umesahau kauli mbiu ni "HAPA KAZI TU"
BOSS: Nakumbuka ulipokuwa unaomba kazi uliorodhesha moja ya vitu unavyopendelea (Hobby) ni kuogelea. "Tukutane kazini"
Hakuna namna itabidi kutumia mbinu hii kufika kazini. Umesahau kauli mbiu ni "HAPA KAZI TU"