Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA YA DARAJA LA KISASA LA KIGAMBONI DAR

Daraja hili lililoanza kujengwa mwaka 2012 kwa Ushirikiano wa Mfuko wa NSSF na Kampuni za China,linatarajiwa kukamilika ujenzi wake mwaka huu. Lina urefu wa mlalo wa kadirio la kilomita 2 likiunganisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE.PAUL MAKONDA (DC) AONYESHA UCHAPA KAZI WAKE

Mh.Paul Makonda akizungumza na Clouds Fm katika kipindi cha Jahazi anasema tarehe 5/1/2016 ujenzi wa shule 7 katika wilaya ya kinondoni ulianza na amezindua kampeni ya kuchangia ujenzi wa shule Saba za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ELIMU BURE ILA JITIHADA YA WALIMU NA WANAFUNZI YAHITAJIKA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEYA WAPYA KINONDONI NA ILALA DAR WAPATIKANA

Wafuasi wa Ukawa wakimpongeza Boniface Jacob (aliyesimama mbele) baada ya kushinda umeya wa Kinondoni.Hatimaye leo uchaguzi wa meya wa halmashauri wa Kinondoni jijini Dar es Salaam umefanyika ambapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TCRA WATUMBUA MAJIPU VITUO VYA REDIO NA TV

Mamlaka ya Mawasiliano TCRA imevifungia vituo 21 vya Radio na 6 vya TV kikiwemo kituo cha Star TV, Radio free Afrika, Kiss Fm na Uhuru FM kwa kushindwa kulipa kodi ya lesseni kwa wakati ..Akitangaza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA: MWANDISHI WA KITABU CHA NGOSWE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KASI YA MHE RAIS MAGUFULI YAANZA KUGUSA MAISHA YA NYUMBANI

Kwa baadhi ya watu ambao walikuwa wamejijengea hali fulani ya maisha bila misingi imara,hali imeanza kugeuka.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA KONYAGI YAFANYA TAMASHA LA KUONJA WINE INAZOTENGENEZA

Kampuni ya Konyagi ambayo ni kampuni tanzu ya TBL Group hivi karibuni iliandaa tamasha la kuonja vinywaji vya wine vinavyotengenezwa na kampuni hiyo yenye makao makuu yake jijini Dar es Salaam.Tamasha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMAMA KATIKA UBUNIFU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PATA UMBEA KIDOGO

Wizi mtupu............................

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BODABODA: HII SASA MMEPITILIZA

Linapokuja suala la usafiri wa haraka na uhakika,bodaboda zimekuwa na mchango mkubwa sana, ila kwasasa ukiukwaji wa sheria hasa usalama limekuwa kubwa. Ni muhimu kuzingatia usalama wa abiria kwa vigezo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT.MAGUFULI: RAIS WA MANENO NA VITENDO

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akionesha umahiri wake wa kutumia Cherahani na kushona nguo za wafanyakazi wakati alipofanya ziara ya kutembelea na kuvifahamu vitengo mbalimbali vya Ikulu jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ADHA YA MVUA JIJINI DAR

MFANYAKAZI: samahani Boss leo sitaweza kuja kazini maana ninapoishi maji yamejaa kila mahala hakuna pa kupita. Nipo kama kisiwani hapa.BOSS: Nakumbuka ulipokuwa unaomba kazi uliorodhesha moja ya vitu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA RASMI YA KWANZA YA KIKAZI MIKOANI YA MHE.RAIS MAGUFULI

Rais John Magufuli anatarajiwa kuwasili mkoani hapa leo kwa ziara ya kikazi ya siku mbili. Hii ni ziara yake ya kwanza tangu alipoapishwa kushika wadhifa huo Oktoba 25, mwaka jana.Maandalizi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA ELIMU YAFUTA MFUMO WA "GPA" NA KURUDISHA "DIVISION"

Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako amefuta mfumo wa matokeo ya GPA kwa wanafunzi wa kidato cha nne, sita na ualimu na kurudisha ule wa zamani wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE.JAKAYA KIKWETE ATEULIWA KUWA MKUU WA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

View Article

VIDEO: MHE RAIS MAGUFULI ZIARANI ARUSHA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AMIRI JESHI MKUU WA TANZANIA MHE.RAIS MAGUFULI KATIKA UBORA WAKE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wananchi wa Kisongo nje kidogo ya jiji la Arusha waliojitokeza kumsalimia wakati akielekea Monduli kwa ajili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UCHAGUZI ZANZIBAR KURUDIWA 20 MACHI, 2016

Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imetangaza tarehe ya marudio ya uchaguzi visiwani humo baada ya matokeo ya uchaguzi uliopita kufutwa.Uchaguzi huo sasa utafanyika Jumapili tarehe 20 Machi.Tangazo hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: MAGWANDA ALIYOVAA MHE DK. MAGUFULI YATOLEWA UFAFANUZI

Baada ya watu kadhaa kuzusha minong'ono juu ya Mavazi rasmi ya kijeshi aliyokuwa amevaa mhe Amiri Jeshi Mkuu wa Tanzania,Dk.John Magufuli alipokuwa njiani Arusha kuelekea Monduli juzi, yametolewa...

View Article
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live