Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATUNI YA LEO YENYE UJUMBE

Ni wikiendi, ni wakati wa kupumzika na kupata burudani. Mbwana Samatta ametupa wikiendi murua Watanzania. Ametuletea heshima kubwa. Msanii hapa anaweka pia angalizo, kuwa kwenye furaha na burudani hii...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEREHE ZA KITAIFA 2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUZIDI KUOMBEA MWAFAKA WA ZANZIBAR

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE.RAIS MAGUULI AMJULIA HALI MHE.SUMAYE

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Freredick Sumaye na Mama Esther Sumaye alipokwenda kumjulia hali katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete katika hospitali ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKWETU KWETU

BREAKFASI YA NGUVU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAWA NADHANI WAMESAHAU "HAKUNA KULIPA ADA STD 1-FORM 4"

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE.RAIS MAGUFULI AIFARIJI FAMILIA YA MWL.NYERERE KUFUATIA KIFO CHA...

Bi Leticia Nyerere akiwa Bungeni Dodoma enzi za uhai wake#################################################################################################Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO:MHE.MAALIM SEIF ATOA MSIMAMO KUHUSU UCHAGUZI ZANZIBAR

MGOMBEA KITI CHA URAIS ZANZIBAR KUPITIA TIKETI YA CHAMA CHA WANANCHI CUF MAALIM SEIF muda mchache uliopita amezungumza na waandishi wa habari: Na zifuatazo ni sehemu ya nukuu za kauli alizotoa leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHEZAJI BORA WA DUNIA 2015: LIONEL MESSI

Kura walizopata katika kinyang'anyiro cha Tuzo ya Mchezaji Bora Dunia 20151.Lionel Messi 41.33 %2.Cristiano Ronaldo 27.76 %3.Neymar Jr 7.86 %

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAPINDUZI DAY: KWANINI MAPINDUZI,KWANINI MUUNGANO na Majjid Mjengwa

Ndugu zangu,Ningelipenda kuwa Zanzibar katika siku kama ya leo. Ningelipenda kuwa Zanzibar siku kama ya leo miaka 52 iliyopita.Ndio, usiku wa kuamkia leo, miaka 52 iliyopita, yaani, Januari 12 , 1964,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEREHE ZA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Davis Mwamunyange katika kilele cha Sherehe za Mapinduzi Matukufu ya...

View Article

SAUTI YA HAYATI ABEID AMANI KARUME AKIZUNGUMZIA ZANZIBAR HURU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FAST JET YAANZA SAFARI ZA DAR-NAIROBI

Mkurugenzi asiye mtendaji wa kampuni ya ndege ya Fastjet Balozi Ami Mpungwe, akizungumza na wasafiri wakati wa kuanzisha safari za ndege hiyo kwenda Nairobi kutokea uwanja wa ndege wa kimataifa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UCHUMBA WA SIKU HIZI WAWACHANGANYA WAZAZI/WALEZI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE.RAIS MAGUFULI JANA APANDA NDEGE KWA MARA YA KWANZA KAMA RAIS

Wakati, Rais John Magufuli, akifikisha siku ya 70 ofisini leo tangu kuapishwa kwake Novemba tano mwaka jana,imebainika kuwa mpaka sasa amepanda ndege mara moja tu na kutoka nje ya jiji la Dar es Salaam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAYA SASA......, KUIGA IGA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ELIMU HAINA MWISHO, MAPENZI YA KWELI HADI KIFO.

Picha hizi ni kielelezo kizuri cha ukweli huo hapo juu.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE LOWASSA AIBUKA

Magazeti ya leo yamepamba habari za Lowassa.Aliekuwa Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akizungumza na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA AFYA YATOA MSIMAMO KWA WAGANGA TIBA MBADALA

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akitoa uamuzi wa Serikali kuhusu Serikali kuhusu Tiba Asili na TibaMbadala katika mkutano wa waandishi ulifanyika leo kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATOKEO YA KIDATO CHA PILI YAMETOKA

Kuona matokeo bonyeza link hii: http://www.necta.go.tz/matokeo/ftna2015/html/index.htmBaraza la mitiani NECTA limetangaza Matokeo ya kidato cha 2 kwa wanafunzi waliofanya mtihani mwaka jana ambapo...

View Article
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live