Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

MHE.RAIS MAGUFULI AHUTUBIA SIKU YA SHERIA DUNIANI

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewataka Mahakimu na Majaji wa Mahakama ya Tanzania kufanya kazi kwa kuzingatia weledi wa taaluma ya Sheria katika kushughulikia mashauri yanayopelekwa Mahakamani. Aidha amewataka Majaji na Mahakimu kutoa hukumu za mashauri yanayowasilishwa Mahakamani kwa haraka ili kuwasidia wananchi wanaotafuta haki.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

Trending Articles