Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

KINADADA WA KITANZANIA KWANINI HAMJIKUBALI?

$
0
0
Binadamu tumeumbwa kwa sura na mfano wa Muumba (Kwa imani za kidini). Ni kawaida kwa kinadada kujiremba na kujitunza maana ndio silka yao. Lakini unapozidisha kujiremba unageuka kituko maana Waafrika kwa ngozi zetu tunapendeza sana.
Tazama dada huyu anavyopendeza (Natural is beautiful)
Ila kwa hii hapa comment wewe mwenyewe, mie sipooooo....

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

Trending Articles