Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

ONLY IN TANZANIA: MWANANCHI AMTUZA MHE RAIS MAGUFULI SH.1,000

$
0
0
Wananchi wa Igunga Mkoani Tabora walilipuka kwa furaha na mzee huyu akatoa noti ya shilingi 10,000/- akitaka kumtuza Rais Dkt Magufuli kwa kuweza kutatua changamoto za stendi ya mabasi ya abiria na soko jipya zinazoikabili wilaya ya Igunga wakati wa mkutano wake wa hadhara mjini Igunga Jumamosi Julai 30, 2016.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

Latest Images

Trending Articles