Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DALILI ZA KUANZA UJENZI WA RELI YA KATI KISASA WAANZA KUONEKANA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Dkt. Servaciaus Likwelile akitiliana saini na Naibu Meneja Mikopo Nafuu wa Benki ya Exim ya China Bw. Zhu Ying kuhusu makubaliano ya awali ya ujenzi wa reli ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM WAKUTANA DODOMA KWA AJILI YA KUMPATA MWENYEKITI MPYA HAPO KESHO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAFU YA MAKOCHA MAARUFU KUINOGESHA LIGI KUU YA UINGEREZA

Makocha hao ni pamoja na Klopp (Liverpool)-Guardiola (Man City)-Mourinho (Man United)-Wenger (Arsenal)-Conte (Chelsea)

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHAMBULIO ENEO LA MADUKA (SHOPPING CENTRE) HUKO MUNICH GERMANY

Habari zinazoendelea mpaka muda huu ni kuwa limetokea shambulio katika eneo la Olympia Shopping Centre huko Munich kusini mwa Ujerumani. Inasadikiwa watu wengi wameuawa na wengi kuumia. Tayari Polisi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"KIBEGA": NI MAPEMA SANA

Kutokana na hali ngumu ya maisha ya jamii nyingi nchini, watoto wengi wamejikuta wakilazimika kufanya kazi ambazo hawastahili katika umri huo. Ni jukumu la viongozi,wazazi na jamii kwa ujumla kuangalia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NCHI YA KITU KIDOGO: HAYA YATAISHA LINI?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE DKT JOHN MAGUFULI ATANGAZWA RASMI MWENYEKITI MPYA WA CCM TAIFA

Mwenyekiti aliyemaliza Muda wake Dkt Jakaya Kikwete pamoja na Mwenyekiti mpya wa chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli wakiwapungia mkono Wajumbe wa mkutano Mkuu Maalum mara baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWIGIZAJI WA BONGO MOVIES JACKLINE WOLPER ARUDI CCM

Mwigizaji wa filamu nchini Tanzania Jackline Wolper aliyekuwa akimuunga mkono Edward Lowassa katika uchaguzi Mkuu 2015, ametangaza kujiunga na CCM rasmi jana.Wolper alikaribishwa na mwenyekiti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMTOA OUT "BABY WAKO" SIO LAZIMA MWENDE BEACH

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ONLY IN TANZANIA ( INATOKEA TU TANZANIA)

Pikipiki ndani ya mabasi yaendayo kasi

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMBUKUMBU YA MASHUJAA YAFANYIKA DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewasihi watanzania kuwaenzi Mashujaa kwa kudumisha Amani, Umoja na Utulivu uliojengwa na mashujaa hao.Rais Magufuli ametoa rai hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAISHA YA UTOTO RAHA; NO STRESS

Kuwakuta watoto katika hali kama hizi hasa maeneo ya vijiji asilia ni jambo la kawaida na kama ulitokea sehemu kama hizo na hukupitia hatua hizi basi kuna kitu ulimiss.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA HII KALI KUTOKA ZANZIBAR

Kwenye mnada wa samaki huko Pemba Bwana mmoja alifika 70,000/ kwa tenga. Akatokea mwakilishi (ccm) akatamka kutoa 140,000/- Cha ajabu yule mchuuzi akampa aliyefikia elfu 70,000/Mwakilishi alipouliza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKA KIDOGO NA MAMBO YA TANGA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UDAKU WA LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA WAJA NA HILI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE RAIS YOWERI MUSEVEN AJA NA HILI: APIGA DANADANA BARABARANI NA WATOTO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

USOMPENDA KAJA

MBUNGE wa zamani wa Jimbo la Kahama, James Lembeli, ameibukia katika mkutano wa Rais, Dk. John Magufuli, huku akimwomba kiongozi huyo kuhakikisha anakisafisha Chama Cha Mapinduzi (CCM).Lembeli ambaye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFUNGUA MAONYESHO YA SABASABA HUKO MOROGORO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Damian Lubuva wakati alipotembelea Banda la Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika Monyesho ya Wakulima Nane mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ONLY IN TANZANIA: MWANANCHI AMTUZA MHE RAIS MAGUFULI SH.1,000

Wananchi wa Igunga Mkoani Tabora walilipuka kwa furaha na mzee huyu akatoa noti ya shilingi 10,000/- akitaka kumtuza Rais Dkt Magufuli kwa kuweza kutatua changamoto za stendi ya mabasi ya abiria na...

View Article
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live