Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

BRAZIL YAITOA UJERUMANI KWA PENATI KATIKA FAINALI ZA OLYMPICS HUKO RIO

$
0
0
Timu ya Taifa ya Soka Olympics 2016 ya Brazili imeshinda Medali za Dhahabu baada ya kuitoa Ujerumani kwa Penati. Timu hizo ambazo zilimaliza muda wa kawaida kwa droo ya 1 - 1 iliongezewa dakika 30 na ikabaki 1-1 ndipo zikapiga penati na Brazil ikapata 5 Ujerumani 4. Penati ya ushindi ilifungwa na mchezaji machachari Neymar.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

Trending Articles