Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

HISPANIA YABANWA VIBAYA FIFA HII

$
0
0
Mabingwa watetezi wa Kombe la Dunia, Timu ya Hispania, leo tena imechapwa na CHILE magoli 2 bila katika mechi iliyomalizika hivi punde
Hii ndiyo timu ya Chile iliyowaangamiza Hispania
Golikipa wa Hispania Casilas akiwa amejishika kuno kutokujua afanye nini baada ya mchezaji wa Chile kufunga goli.
Shabiki akionyesha maandishi yenye maana "Kwaheri Hispania" maana matumaini ya timu hiyo kuendelea ni madogo. Mpaka sasa timu hiyo imefungwa mechi zote na haina pointi hata moja



Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

Trending Articles