Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAFASI ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SERIKALI ZATANGAZWA

Nafasi za kujiunga na kidato cha nne mwaka 2014  kwa wanafunzi waliomaliza mwaka jana zimetangazwa rasmi muda huu jijini dare s salaam na naibu waziri wa TAMISEMI  Bw KHASIM MAJALIWA  ambapo zaidi ya...

View Article


MSIMAMO WA FIFA WORLD CUP KAMA ULIVYO LEO

2014 FIFA World Cup™Group A#CountryGPWDLGFGAGDPTS1 Brazil110031232 Mexico110010133 Cameroon100101-104 Croatia100113-20Group B#CountryGPWDLGFGAGDPTS1 Netherlands110051432 Chile110031233...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOMBE LA DUNIA NA VITUKO VYA WACHEPUKAJI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAFARI NYINGINE ZATAKA MOYO

Kutokana na maendeleo duni ya miundo mbinu, sehemu nyingine inabidi watumie usafiri huu kuvusha watu na mizigo yakiwemo magari.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BODA BODA SULUHISHO LA FOLENI DAR

Mheshimiwa Mbunge alipochukua usafiri wa BODABODA ili kuwahi usafiri wa ndege.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HISPANIA YABANWA VIBAYA FIFA HII

Mabingwa watetezi wa Kombe la Dunia, Timu ya Hispania, leo tena imechapwa na CHILE magoli 2 bila katika mechi iliyomalizika hivi pundeHii ndiyo timu ya Chile iliyowaangamiza HispaniaGolikipa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA

Najua huu ni msemo unaotumiwa san ana viongozi wetu, na bahati mbaya ni pale wanapoomba kura. Lakini tunawakumbusha kuwa wajitahidi kutekeleze ahadi zao maana kwakweli hali za walio wengi zinatisha....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA MUHIMU KUTOKA DART SEHEMU YA BARABARA MATAA UBUNGO KUFUNGWA KESHO...

Sehemu ya Barabara katika makutano ya Mandela na Morogoro sehemu ya Ubungo Mataa, itakufungwa kuanzia kesho usiku hadi Jumamosi asubuhi kupisha ujenzi wa barabara ya Mabasi yaendayo haraka. Wananchi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI YA LORI KINYEREZI/UKONGA

Sheria za barabarani ikiwa ni pamoja na kuzingatia vigezo ya uzito unaokubalika ni muhimu

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ENGLAND BYE BYE FIFA

Katika mechi ya jana, England imechapwa bao 2 kwa 1 na Uruguay. Kwa maana hiyo Uingereza haina point hata moja na hivyo kuzaaga mashindani baada ya mechi moja itakayofuata.Suarez akiifungia Uruguay...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LEO NI SIKU YA WAKIMBIZI DUNIANI

Tuzidi kumwomba Mungu Tanzania yetu iwe ya Amani maana watu wanateseka kwinginekoWakati sisi tunafurahia amani tulonayo, nchi nyingi za Africa zipo katika machafuko ya kivita. Huko Irak ni zaidi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KWA MTINDO HUU, BRAZIL SI YETU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AHADI YA KIZALENDO YA MHE.RAIS JAKAYA KIKWETE

Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete amesema atajitolea kurudi kufundisha katika Chuo cha Taifa cha Ulinzi baada ya kumaliza awamu yake ya Uongozi katika nchi kama Raisi. Ameyasema hayo jana katika mdahalo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI MAKONGO

Kuna ajali imetokea eneo la Makongo nje kidogo ya Mwenge Dar likihusisha Daladala ya abiria (Makumbusho-Kunduchi) na lorry.Inasemekana watu zaidi ya 10 wamepoteza maisha. **Picha za magari yalohusika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FIFA UJERUMANI NA GHANA LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAJERUMANI NGUVU SAWA NA GHANA

Katika mechi iliyomalizika hivi punde, timu za Ujerumani na Ghana zimetoka droo kwa kufungana goli 2.Mechi hiyo ya kusisimua ambayo kila moja ilikuwa na wachezaji ndugu Kevin Prince Boateng wa Ghana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAWATAKIA JUMAPILI NJEMA

Nimeipenda picha hii iwe mwangaza wetu kwa siku ya leo. Katika maisha ni muhimu sana kujali utu wa mtu kwanza kabla ya makandomando ya nje. Nimewapenda maharusi hawa maana wameweka utu na upendo wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHANGO WA MHE. GODBLESS LEMA KWA BUNGE LA BAJETI 2014

Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ni miongoni mwa waliowasha vipaza sauti kwenye bunge la bajeti linaloendelea Dodoma ambapo sehemu ya alichochangia ni hiki kinachofata hapa chini. ‘Dola bilioni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTAFUTAJI USIO SAHIHI

Wiki ya pilikapilika imeanza kila mmoja akijaribu kujitafutia riziki. Ila kwa wengine wanazitafuta kwa njia isiyo sahihi. Tuwe macho nao

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYOTA NJEMA HUONEKANA ASUBUHI

View Article
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live