Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089
↧

MARAIS WA TANZANIA NA ZAMBIA WAAZIMIA KUBORESHA ZAIDI TAZARA NA TAZAMA

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Rais wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Edgar Chagwa Lungu tarehe 28 Novemba, 2016 wamekubaliana kuchukua hatua za haraka na madhubuti kuboresha utendaji kazi wa reli ya TAZARA na bomba la mafuta la TAZAMA ili miradi hiyo miwili ilete manufaa yaliyokusudiwa kwa wananchi Tanzania na Zambia.
↧

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

Latest Images

Trending Articles