Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE MAALIM SEIF AAZIMIA KUFUTA NYAYO ZA LIPUMBA KUSINI MWA TANZANIA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad anatarajiwa kuzuru mikoa ya Kusini mwa Tanzania katika kipindi ambacho bado kuna sintofahamu kuhusu nafasi ya Uenyekiti wa chama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAUMIVU YA KUKATWA LOWASSA URAIS YAIBUKA TENA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA ZAMANI WA NCCR MAGEUZI HUKO KIGOMA AHAMIA CCM

Napenda kuutaarifu umma wa Watanzania kupitia kwenu waandishi wa habari kwamba ni jambo la ajabu na aibu kwa watu makini na wenye kuhitaji mabadiliko ya kweli Kuacha kuunga Mkono juhudi zinazofanywa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJOHO YA WAHITIMU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE RAIS MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS MSTAAFU ALHAJI MWINYI IKULU

View Article


VIDEO: KUHUSU KUTUMBULIWA BODI TRA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YA VIWANDA

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alianzia ziara yake kwa kukagua uendeshaji wa Kiwanda wa cha tambi cha TanzaniaPasta, kilichopo eneo la Viwanda, Vingunguti wilayani Ilala. akizungungumza...

View Article

AUDIO: MHE RAIS MAGUFULI AKIONGEA NA SIMU NA RC WA DAR MHE PAUL MAKONDA

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli amempongeza mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam , Paul Makonda kwa juhudi anazofanya katika ziara yake kwa kusikiliza kero za Wananchi wa mkoa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATOTO HAWA WAMEIGA AU KUJIFUNZA WAPI HAYA?

Tuwaonyeshe watoto mifano mema ili kuwajengea kesho nzuri

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA ZAMANI WA CUBA; FIDEL CASTRO AFARIKI DUNIA

Rais wa zamani wa Cuba na kiongozi wa mapinduzi ya kikomunisti, Fidel Castro amefariki akiwa na umri wa miaka 90, mdogo wake Raul ametangaza.Amefariki usiku wa saa nne na dakika 22, kwa mujibu wa Rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA MURO KUUZA MABASI NA MALI ZAKE NYINGINE

Kwa siku za hivi karibuni kumekuwepo na ongezeko kubwa la nyumba kipigwa mnada, viwanja, magari, hoteli na mali mbalimbali kutokana na sababu mbalimbali kubwa ikiwa ni baadhi wa wakopaji kushindwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UGENI WA MARAISI WAWILI NCHINI TANZANIA WIKI HII

Rais Magufuli leo amepokea Marais wa Mataifa mawili ya Tchad na Zambia kwa mialiko ya ziara za kikazi.Rais wa Chad Idriss Deby atakuwepo nchini kwa siku mbili katika ziara ya Kikazi; wakati rais wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBEYA YA PILI AFRIKA KWA WINGI WA MADHEHEBU

Jiji la Mbeya ni la pili kwa wingi wa madhehebu barani Afrika likiongozwa na Lagos lililopo Nigeria.Kwa mujibu wa Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Paul Ntinika, jiji hilo lina makanisa 450 na Mtaa wa Sae pekee...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MARAIS WA TANZANIA NA ZAMBIA WAAZIMIA KUBORESHA ZAIDI TAZARA NA TAZAMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Rais wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Edgar Chagwa Lungu tarehe 28 Novemba, 2016 wamekubaliana kuchukua hatua za haraka na madhubuti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NDEGE ILIYOBEBA WACHEZAJI WA BRAZIL YAPATA AJALI

Habari za kusikitisha katika ulimwegu wa soka ni kwamba, klabu ya Chapecoense ya Brazil imepata ajali baada ya ndege iliyokuwa imebeba wachezaji pamoja na viongozi kuanguka kwenye mji wa Medellin,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO WA DIAMOND PLATNUMZ

Hakuna ubishi kuwa Princess Tiffah ndiye mtoto maarufu zaidi Afrika kwa sasa.Umaarufu wake unazidi kuongozeka kiasi ambacho wiki hii amefikishafollowers milioni 1 kwenye mtandao wa Instagram.Ila katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIWANDA CHA SARUJI CHA DANGOTE CHASITISHA UZALISHAJI KWA MUDA

UZALISHAJI katika kiwanda cha saruji cha Dangote kilichopo Mtwara umesimama kwa muda kutokana na hitilafu za kiufundi zilizojitokeza katika mitambo.Ofisa Mtendaji Mkuu wa Dangote Tanzania, Harpreet...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SMARTPHONES ZINAVYOFIFISHA UTU NA UBINAAMU WETU

IT'S VERY SAD....hapa ndipo tulipofikia.Hivi karibuni mzee mmoja aliyekuwa na baskeli aligongwa AKIWA KATI YA BARABARA...Watu wanapiga PICHA huku wakitania...ATAKUWA AMEVUNJIKA KIUNO(mocking).. Huku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YAZINDUA MWONEKANO MPYA WA POMBE YA CHIBUKU KATIKA CHUPA

Watumiaji wa kinywaji maarufu cha nafaka kiitwacho Chibuku kinachouzwa sana katika Jiji la Dar, sasa watakuwa wakiburudika na kinywaji hicho kwenye chupa mpya ya ujazo wa nusu lita ambayo itauzwa kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTANI: UKISIKIA "MACHO KODO" NDIYO HAYA

View Article
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live