Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKENYA AIBUKA MSHINDI SHINDANO LA MAISHA PLUS

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAANESCO WAANZA KUTEKELEZA AGIZO LA RAISI KUPELEKA UMEME KIWANDA CHA BAKHRESA

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limeanza kutekeleza agizo la Rais Dkt. John Pombe Magufu la kufikisha umeme kwenye kiwanda cha kusindika matunda cha Bakhressa Food Product kilichopo Mwandege mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUNGE LACHACHAMAA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE RAIS MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO RASMI NA WAANDISHI WA HABARI

Rais Magufuli: Niwashukuru sana kwa michango yenu mikubwa katika maeneo yenu ya kazi.Swali(Tido Mhando): Ulichukua muda kuunda baraza la mawaziri, Je Katika tathmini hiyo wanafanya kazi kulingana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJENZI WA RELI KWA KIWANGO CHA STANDARD GAUGE WAANZA

Pichani inayoonyesha reli ya kati kwa kiwango cha Standrd Gauge iliyoanza kujengwa katika eneo la Soga mkoani Pwani.Pichani ni mchoro wa Vituo vya Treni vitakavyokuwa baada ya kukamilika kwa ujenzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE DKT JOHN POMBE MAGUFULI ATIMIZA MWAKA MMOJA WA URAIS

Leo na mimi nipaze sauti yangu imfikie Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. John Pombe Magufuli kwa Mafanikio Makubwa aliyoyapata ktk kipindi cha Mwaka mmoja wa utawala wake tangu aingie...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UDAKU WA LEO

Pale unapoanza shule upya baada ya vyeti kuthibitishwa ni feki

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMANZI: SPIKA WA BUNGE MSTAAFU MHE SAMWEL SITTA AFARIKI DUNIA

Spika wa Bunge Mstaafu, Samuel Sitta (74) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo wakati akipatiwa matibabu nchini Ujerumani.Mtoto wa marehemu, Benjamin Sitta amesema baba yake amefariki saa 10:00 usiku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA TENA: ALIYEWAHI KUWA WAZIRI WA ELIMU JOSEPH MUNGAI AMEFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa waziri wa Elimu Tanzania Joseph Mungai amefariki Dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOT NEWS; WAMAREKANI WAPIGA KURA KUMCHAGUA RAIS MPYA

Donald Trump na Hillary Clinton wagombea katika uchaguzi wa urais Marekani, Novemba 8, 2016.Wananchi wa Marekani watapiga kura leo Jumanne kumchagua rais wao, ambaye atamrithi Rais Barack Obama....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE DONALD TRUMP RAIS MPYA WA MAREKANI

Mgombea wa Chama cha Republican, Donald Trump ameshinda uchaguzi mkuu wa Marekani baada ya kufikisha kura 276 huku Hillary Clinton akiwa na kura 218.Hillary Clinton amempigia simu Rais Mteule wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAREHEMU SAMWEL SITTA AAGWA DAR NA DODOMA,KISHA KUSAFIRISHWA URAMBO TABORA...

Mhe Rais Magufuli akiongoza waombolezaji kuaga mwili wa Marehemu Samwel Sitta katika viwanja vya Karimjee Jijini dar leoRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt . John Pombe Magufuli akimfariji Mama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOSPITALI YA "THE JAKAYAKI KWETE CARDIAC INSTITUTE" YAUNGANISHIWA INTERNET...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAREKANI BAADA YA UCHAGUZI WA RAIS

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHAGUA JIKO SIO MPISHI

Hii nadhani wengi wetu tumepitia na bado tunaendelea kutumia hasa uwapo sehemu kama vile mstuni kwa matembezi. Vyombo kama hivi ni muhimu sana kuwa navyo vipo vingi sana SIDO tena ni imara zaidi kuliko...

View Article


VIDEO: THE BEST OF OBAMA'S PHOTOS

Katika kipindi cha miaka 8 ya urais wake nchini marekani, Mhe Barack Obama alipiga picha zaidi ya milioni 2, hapa nakuwekea clip ya picha zake zilizovutia wengi kwa namna alivyokuwa mtu wa watu wote.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE RAIS TRUMP WA MAREKANI NA FAMILIA KATIKA UBORA WAO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VYOO 100 KUJENGWA KWA AJILI YA WASAFIRI BARABARA YA MWANZA/SHINYANGA/DAR

Taasisi ya The Desk & Chair Foundation (TD& CF), inatarajia kujenga vyoo 100 katika Barabara Kuu ya Mwanza-Shinyanga-Dar es Salaam unaokadiriwa kutumia Sh. milioni 500.Mwenyekiti wa TD &...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWONEKANO WA BARABARA YA MOROCCO-MWENGE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MALEZI KWA VITENDO YANA MATOKEO MAZURI ZAIDI

Sijui ni kwa kiasi gani umeweza kuwapa picha na mtazamo bora wa maisha hao watoto wako. Usisahau kwamba wao wanajifunza kwa asilimia 70 kutoka yale wanayokuona ukiyafanya na asilimia 30 tu kwenye yale...

View Article
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live