Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

JUMAPILI NJEMA WADAU : IMANI YAWEZA

$
0
0
MTOTO WA MIAKA NANE APONYA WATU HUKO BRAZIL KWA KUWAOMBEA NA KUKEMEA PEPO KWA JINA LA YESU
Binti Alani Santos wa Mji wa San Gonzalo huko Brazil anasadikiwa kuwa na kipaji cha kuombea watu wanaosumbuliwa na matatizo mbali mbali kwa jina la Yesu nao wakapona. Mtoto huyo ambaye huwa anafanya hivyo katika kanisa ambalo Baba yake ni Mchungaji, amewashangaza watu wengi kwa uwezo huo alopewa na Mungu.

Hapa Binti huyu akimwombea mama mgonjwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

Trending Articles