Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YATAKA MOYO NA INATIA HURUMA

Mtoto huyu nae anatamani anywe maji safi na salama lakini ndo hivyo katika mazingira alipo hakuna huduma hiyo. Hapa msaidizi wake ni mungu tu maana wanyama wanatumia maji hayo hayo na yeye pia, ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA. FAHARI YA TANZANIA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS OBAMA AMTEMBELEA PAPA FRANCIS 1 HUKO VATICAN

"Wonderful meeting you. I'm a great admirer," the president said."I bring greetings from my family," Obama added. "The last time I came here to meet your predecessor I was able to bring my wife and...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DHARAU MBAYA...(Fikiri kabla ya kusema au kutenda)

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MALEZI NI HATUA

Katika ukuaji kuna hatua ambazo mtu hupitia hadi ukuaji wake mtimilifu. Hatua kama hii wanayopitia hao japo kwao ni kama kucheza tu lakini yawajenga na hapo baadae kuishi vizuri kifamilia kama mke na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKIWAULIZA???......."Tunatazama mpira"

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAWATAKIA JUMAPILI NJEMA.

Kwakweli wetu Tz tuna shida ya usafiri lakini wenzetu huko wamezidi

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJUMBE WA LEO: Hilo nalo nenoooo

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MVUA ZA MASIKA KIZAAZAA MAENEO MENGI TANZANIA

Hii ni sehemu ya mto Msimbazi maeneo ya Jangwani Jijini Dar es SalaamHuko Lindi nako Daraja limeezuliwa na maji na hapa wananchi wakijaribu kutengeneza kivuko cha mudaHali ya tope katika Kituo cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAWATAMBUENI KWA MATENDO YENU

Huu ni msemo nzuri ambayo waonyesha naona ya kuelekeza jema la kufanya kwa kutenda na sio kusema tu "wewe fanya hivi" lakini mwenyewe hutendi. Ni hamasisho kwa wazazi kuwafundisha watoto wao yale...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ELIMU YA KUJITEGEMEA lakini mmmmm

Wanafunzi wa shule ya msingi wakitoka kuteka maji ya kupikia na kudekia.Hawa nao wametoka kuokota kuni za kupikia

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAKUMATT KARIBU TANZANIA

Moja ya maduka makubwa ya bidhaa mbalimbali nchini Kenya ya Nakumatt inatarajiwa kuja kuchukua nafasi ya maduka ya Shoprite yaliyopo nchini kuanzia katikati ya mwaka. Maduka haya ya Shoprite...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KWA HII LAZIMA WATU WAZIMIE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI WA MFANO WA MAISHA YA UNYENYEKEVU

Baba wa Taifa Mwl.Julius Nyerere akiwa anaendesha baiskeli katika mojawapo ya safari zake.Raisi wa Uruguay Mhe Jose Mujica akiwa katika usafiri wake wa gari maarufu kama "kobe"

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUMAPILI NJEMA WADAU : IMANI YAWEZA

MTOTO WA MIAKA NANE APONYA WATU HUKO BRAZIL KWA KUWAOMBEA NA KUKEMEA PEPO KWA JINA LA YESUBinti Alani Santos wa Mji wa San Gonzalo huko Brazil anasadikiwa kuwa na kipaji cha kuombea watu wanaosumbuliwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWACHENI MUNGU AITWE MUNGU

Hii ni jamii ya watu wa kijiji cha Bazoule kilichopo nje kidogo ya Mji mkuu wa Burkina Faso.Kwa mujibu wa wanahistoria, jamii hii ilianza kuishi na mamba yapata miaka 600 iliyopita.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMEKUCHA SASA TUKATAFUTE RIZIKI

Ni asubuhi sasa na naamini wadau wangu mu wazima. Twendeni tuwahi tukatafute riziki zetu za kila siku kwani imeandikwa "Asiyefanya kazi na asile". Mola atutangulie katika kila jambo. Nawatakia wiki njema

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HONGERA Mhe. RIDHIWANI KIKWETE: "LIKE FATHER,LIKE SON"

Baada ya kampeni za muda kuwania Ubunge Jimbo la Chalinze, hatimaye CCM kupitia mgombea wake Mhe. Ridhiwani Kikwete (mtoto wa kiume wa Rais Mhe. Jakaya Kikwete) amepata ushindi wa kishindo wa kura...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPO ZAMANI ZA KALE..........................

Haya ndio yalikuwa mafuta maarufu ya kupikiaHuu ndio ulikuwa usafiri wa viongozi wa kitaifaHuu ndio ulikuwa usafiri wa mabasi ya Abiria (KAMATA na TANGANYIKA BUS)Baadhi ya vitabu mashuleni vilikuwa hivi

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POSTA DAR ES SALAAM HAPAPITIKI LEO

View Article
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live