Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089
↧

Prof Lipumba ajiuzulu rasmi uenyekiti CUF

$
0
0
MWENYEKITI wa Taifa wa Chama Cha Wananchi (CUF),Profesa Ibrahim Lipumba amejiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa chama hicho leo majira ya saa 5 asubuhi katika Hoteli ya Peacock jijini Dar es Salaam. Akizungumza mbele ya waandishi habari,Pro.Lipumba amesema ametafakari sana katika kuendelea kuwa Mwenyekiti wa chama hicho lakini dhamira yake inamsuta.
↧

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

Latest Images

Trending Articles