Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAWATAKIA KHERI YA MWAKA MPYA 2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAMNA YA KUANZA 2017 KWA MALENGO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE RAIS MAGUFULI ASEMA BEI YA UMEME HAITAPANDA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewahakikishia Watanzania kuwa licha ya Mamlaka ya udhibiti wa huduma za Nishati, Maji na Mafuta (EWURA) kuridhia ombi la TANESCO la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANESCO YA KWANZA KUTUMBULIWA MWAKA MPYA

Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Mhandisi Felchesmi Mramba

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO YA KIJIJINI

Kuishi kijijini inabidi uwe mvumilivu...😬 Unaenda kuoga unakumbuka umesahau sabuni unaenda kuchukua,unafika bafuni unakuta ng'ombe amekunywa Maji yote😄Unaenda kuchukua mengine ile kurudi bafuni unakuta...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINADADA MNAOPENDA WENYE "SIX PACKS"

Imetokea hivi karibuni kuwa kama fashion,kina dada kuhangaika kuwa na mahusiano na wanaume waliojengeka miili yao,kitaalam tunawaita "six packs". Hali hii inaumiza wengine wanaohangaika kujenga hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMOJA WA MATAIFA WAPATA VIONGOZI WAPYA

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa mhe. Antonio Guterres kutoka UrenoNaibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa mhe Amina Mohammed kutoka Nigeria, nafasi ambayo iliwahi kushikiliwa na mhe Asha Rose Migiro wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADAWA YA KULEVYA SIO UJANJA NI MAJANGA

Nando ni kijana aliyeshiriki big brother mwaka 2013, kama mwakilishi wa Tanzania, kutokana na hali ngumu ya maisha kijana huyu alijidumbukiza kwenye janga kubwa la matumizi ya madawa ya kulevya Kwa...

View Article


KESI YA MHE LEMA SASA MAHAKAMA YA RUFAA

Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, leo imeshindwa kusikiliza rufani ya Jamhuri dhidi ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kupinga dhamana yake

View Article


Mhe.BAKHRESA AANZISHA KIWANDA CHA AZAM DAIRY PRODUCTS ZANZIBAR

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) na Mwenyekiti wa Kampuni ya Azam Group Bw.Said Salim Bakhresa wakikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Mradi wa...

View Article

Article 0

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA SEPETU AHAMIA CHADEMA

Akizungumza na waandishi wa habari akiwa ameambata na mama yake mzazi nyumbani kwao Sinza Jijini Dar es Salaam, Wema amesema sababu kubwa ya kuhamia CHADEMA ni ili kupata nafasi ya kupigania demokrasia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NANI KAMA MAMA?

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLENI KWA UKIMYA WA MUDA MREFU WADAU

Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja nilishindwa kuwaletea habari na burudani kupitia blog yenu ya KARIBU NYUMBANI kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu. Nawashukuru kwa uvumilivu wenu na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAFUTA YA KUPIKIA YALOKUWA BORA NA YENYE VIWANGO

Picha kwa hisani ya MAISHA NA MAFANIKIO BLOG

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE MAMA SALMA KIKWETE ATEULIWA KUWA MBUNGE VITI MAALUM

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POMBE KALI KATIKA VIFUNGASHO VYA PLASTIKI (VIROBA) YAPIGWA MARUFUKU KUANZIA...

Mtakumbuka tarehe 20 Februari 2017 Ofisi ya Makamu wa Rais ilitoa tamko la Serikali la utaratibu utakaotumika kutekeleza agizo la kusitisha utengenezaji, uuzaji na matumizi ya pombe kali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UCHAMBUZI KUHUSU TOFAUTI KATI YA WASICHANA NA WANAWAKE

1. Wasichana wanatafuta wanaume wenye pesa ila Wanawake wanatafuta wanaume wanaojali na kupenda.2. Wasichana hupima thamani ya wanaume wao kwa kuangalia ukubwa wa mifuko yao ila Wanawake hupima thamani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJUMBE WA LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATIMAE MHE MBUNGE GODBLESS LEMA AACHIWA KWA DHAMANA

Hatimaye Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imemuachia kwa dhamana Mbunge wa Arusha Mjini kupitia CHADEMA, Godbless Lema baada ya kusota gerezani kwa zaidi ya miezi minne. Mahakama hiyo imefikia uamuzi huo...

View Article
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live