Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERENGETI BOZS U17 WAYIDI KUCHANJA MBUGA

Timu ya Taifa ya Vijana ya Serengeti Boys ambayo ipo Gabon sasa hivi inakogombea Ubingwa wa Afrika kwa Umri wa Miaka 17 na inaongoza kwenye kundi lake kwa Magoli 2 na Point 3, baada ya jana kuishinda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE RAIS YOWERI MUSEVENI AWA MWENYEKITI MPYA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI EAC

Rais John Magufuli jana (Jumamosi) amemkabidhi rasmi uenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), kwa Rais Yoweri Museveni.Muda mfupi kabla ya kumkabidhi nafasi hiyo, Rais Magufuli ambaye alikuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPA NDIO MWISHO WA RELI KIGOMA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKATABA UJENYI WA BOMBA LA MAFUTA HOIMA UGANDA HADI TANGA TANZANIA WASAINIWA

Marais waheshimiwa Yoweri Museveni wa Uganda na John Magufuli wa Tanzania wakisiani Mkataba huoMaraisi hao wakipeana mkono wa pongeyi na shukrani kwa ushirikiano huo baada za kusaini mkatabaKikao cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASATA LALAANI KITENDO CHA PICHA ZISIZO NA MAADILI ZA BEN POL

Jamii za Tanzania inabidi ifike mahali iachane na mambo ya kuiga,hasa tabia yisiyoendana na maadili ya Mtazania. Pengine wanaiga bila kujua, ila wengi wanajua wanachofanya na wakati mwingine wanafanya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHEZA FILAMU JAMES BOND AFARIKI DUNIA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZ......WATU 19 WAUAWA KATIKA TUKIO LA KIGAIDI HUKO MANCHESTER...

Watu 19 wameuwawa na wengine zaidi ya 50 wamejeruhiwa katika tukio linashukiwa kuwa ni shambulizi la kigaidi katika ukumbi wa Manchester Arena.Mlipuko huo umetokea usiku wa jana wakati wa tamasha la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOT NEWZ.......MHE PROFESA MUHONGO AACHISHWA UWAZIRI

IKULU: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo ambapo uteuzi wa kujaza nafasi yake utafanyika baadaye.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAULI YA BABA WA TAIFA KUHUSU MADINI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA......MUME WA ZAMANI WA ZARI THE BOSS AFARIKI DUNIA

Marehemu Ivan Don Marehemu Mume wa zamani wa Zari, Mke wa sasa wa Diamond Platnumz.Leo May 25, 2017 zimeripotiwa taarifa za kifo cha Ivan Semwanga “Ivan Don” mfanyabiashara maarufu kutoka nchini uganda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAWATAKIA NDUGU ZETU WAISLAM MFUNGU MWEMA WA MWZI MTUKUFU WA RAMADHAN

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akitoa risala ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kwa Wananchi wa Zanzibar na Tanzania kwa Ujumla na kuwatakia kheri katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTEUZI WA IGP

Aliyekuwa Kamishna wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Simon Sirro.Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli leo tarehe 28 Mei, 2017 amemteua Kamishna wa Polisi Simon...

View Article

ALIYEBUNI NA KUCHORA NEMBO ZA TAIFA AFARIKI DUNIA

Mzee Francis Maige Kanyasu maarufu kama "Ngosha" aliyedai kuwa yeye ndiye mchoraji wa nembo ya Taifa amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, leo akiwa na umri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WA UPINZANI WASUSIA BUNGE NA KUTOKA NJE

MHE MBUNGE LIVINGSTONE LUSINDE ALICHOONGEA NA KISHA KUZUSHA MJADALAMbunge Mhe.John Mnyika atolewa nje ya Bunge kwa amri ya Spika Job Ndugai na kuamriwa kutohudhuria vikao kwa siku 7 baada ya kutokea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE MAMA ANNA MGHWIRA (ACT) ATEULIWA KUWA MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO

IKULU: Rais Magufuli amemteua Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, mama Anna Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro akijaza nafasi ya Said Meck Sadick aliyejiuzulu

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATUNI YA LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

REAL MADRID WALIVYORUDI NYUMBANI KWA SHANGWE BAADA YA KUTWAA KOMBE LA UEFA

Usiku wa June 3 2017 katika uwanja wa Millenium jiji la Cardiff nchini Wales Real Madrid waliandika historia mpya katika uwanja huo baada ya kufanikiwa kutwaa taji lao la 12 la UEFA Champions League...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA: R.I.P Dr.Phillemon Ndesamburo

Alokuwa Mbunge wa Moshi Mjini (CHADEMA)Mhe.Phillemon Ndesamburo amefariki wiki ilopita na mazishi yake kufanyika huko KDC Moshi. Alikuwa mmoja wa waasisi wa Chama cha Upinzani CHADEMA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIVUKO CHA MV.KAZI CHAANZA KUTOA HUDUMA RASMI FERRY- KIGAMBONI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUANZE MWANZO WA JUMA KWA UJUMBE HUU

View Article
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live