Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE MAMA ANNA MGHWIRA AAPISHWA KUWA MKUU WA MKOA WA KNJARO LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAJETI YA SERIKALI 2017/2018 YASOMWA LEO BUNGENI

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango ametangaza kufutwa rasmi kwa ada ya mwaka ya leseni ya magari. Amesema uamuzi umechukuliwa ili ada hii ilipwe mara moja pale gari linaposajiliwa na baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FURAHI NA PICHA HII LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ORODHA ZA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA SITA NA VYUO VYA UFUNDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Tamisemi) George Simbachawene ametoa idadi ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha tano na vyuo vya ufundi kwa mwaka 2017 huku jumla ya wanafunzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IJUE HISTORIA YA MAGARI ZA ABIRIA MAARUFU KAMA "CHAI MAHARAGE"

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE MAGUFULI NI RAIS WA WATANZANIA WOTE BILA KUJALI ITIKADI

MWENYEKITI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Anna Mgwira, ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kwa kile kilichoelezwa kuwa ni “mkosoaji mwenye faida” na kwamba Rais John Magufuli bado ana nafasi kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASI LA BATCO LATEKETEA KWA MOTO HUKO MKOANI MARA

Basi la BATCO lenye namba za usajili T192DHW likiteketea kwa moto hii leo katika eneo la Kirumi kata ya Bukabwa Wilayani Butama Mkoani Mara, gari hilo lilikuwa linafanya safari zake kutoka...

View Article

GOOD NEWS WANAFUNYI MAJERUHI WA LUCKZ VICENT WARUHUSIWA KUTOKA HOSPITALINI...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZANZIBAR YATANGAZWA KWA KUPITIA MABASI HUKO LONDON UINGEREZA

Kwa siku mbili mfululizo sasa mabasi ya jiji la London yamekuwa yakibeba tangazo ya shirika la ndege la Uturuki ambalo linapigia debe kituo chake kipya cha safari ya ndege zake “Zanzibar*.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKA KIDOGO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE RAIS MAGUFULI AKUTANA NA WAKUU WA MIKOA ZOTE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikutana na wakuu wa mikoa wote katika kikao kilichohudhuriwa pia na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kassim...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE RAIS MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA MWENYEKITI WA BARRICK

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na Mwenyekiti wa Barrick Gold Corporation ya Canada Profesa John L. Thornton mara baada ya mazungumzo yao Ikulu jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PRECISION AIR KUANZA SAFARI ZA HADI MBUGANI SERENGETI

Shirika la Ndege la Precision Air linatarajiwa kuazia Oktoba 1, 2017 kuanza kutua katika kiwanja cha Seronera ,katika Mbuga kubwa ya Serengeti

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAAKULI HAYA YANAKUKUMBUSHA WAPI?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BIASHARA YA MKAA BADO IMESHAMIRI

Pamoja na tatizo kubwa la uharibu wa misitu na mazingira, biashara ya mkaa imeendelea kushamiri hasa maeneo ya Mijini.Hapa chini ni Biashara ya mkaa maeneo ya Kigogo Fresh nje kidogo ya Jiji la Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPPY FATHERS DAY

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIBONZO CHA LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE.RAIS MAGUFULI AZINDUA KIWANDA CHA KUUNGANISHA MATREKTA CHA TAMCO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amezindua kiwanda cha kuunganisha matrekta cha Ursus na kiwanda cha Nondo cha Kiluwa ambapo amewataka wawekezaji kujitokeza kwa wingi kwani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE RAIS MAGUFULI AFUNGUA RASMI BARABARA ZA BAGAMOYO/MSATA 64KM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe pamoja Mama Salma Kikwete (Mb), Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Profesa Norman Sigala, Waziri wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mhe RAIS MAGUFULI AFUTARISHA KIBAHA

Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwa katika foleni ya kunawa na kisha kuchukua chakula leo Jumatano Juni 21, 2017 katika futari aliyowaandalia wananchi wa mkoa wa Pwani...

View Article
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live