HAPO ZAMANI ZA KALEEEEEE
Baba wa Taifa miaka ya ujana wake.Mdau unajua hiki kiatu kinaitwaje, wakati huo unavaa na bugaloo
View ArticleNAFASI ZA MASOMO WAMA NAKAYAMA SEC.SCHOLL
Zikiwa zimepita siku chache tangu matokeo ya Kidato cha sita kutangazwa. Shule ya Wama-Nakayama inatangaza nafasi za masomo. Wanaopenda kujiunga soma hapa...
View ArticleDOUBLE TREE BY HILTON YAPIGA HODI ZANZIBAR
Kampuni kubwa ya Hilton na Double Tree by Hilton imetangaza kufungua Hoteli Mpya ya kisasa ya vyumba 58 huko StoneTown Zanzibar. Tayari wana Hotel ya Double Tree by Hilton Dar es Salaam eneo la Msasani...
View ArticleAIR ALGERIE YAENDELEZA MACHUNGU YA MAJANGA YA NDEGE
Wakati bado ulimwengu waomboleza vifo vya watu 298 walioangamia kwa kudunguliwa ndege ya Malaysia,na pia ile ajali ya ndege ya Taiwan, Ndege ya Air Algerie aliyoanguka huko Mali ni janga kubwa kwa...
View ArticleSIKU YA MASHUJAA TANZANIA YAFANA-VIWANJA VYA MNAZI MMOJA DAR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea salama ya Heshima mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini dar es Salaam jana katika kilele cha...
View ArticleUJENZI WA BARABARA ZA JUU(FLY-OVER) KUTIWA SAHIHI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakibadilishana hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa barabara za juu kwa...
View ArticleSERIKALI YAIFUNGIA HOSPITALI YA IMTU-MBEZI AFRICANA DAR
Serikali imeifungia Hospitali ya Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (IMTU), baada ya kuifanyia ukaguzi na kubaini kasoro kadhaa za uendeshaji wake.Ukaguzi huo ulifanywa jana na jopo la...
View ArticleMRADI MKUBWA WA COCO BEACH PARK
TIB Development Bank ikishirkiana na Uongozi wa Manispaa ya Kinondoni umefanya upembuzi yakinifu na kuandaa mchoro wa kuendeleza fukwe hizo maalum jijini Dar
View ArticleUNYENYEKEVU WA KIONGOZI MKUU WA KANISA KATOLIKI
Baba Mtakatifu Francis 1 akipokea huduma ya chakula katika moja ya migahawa huko Roma.
View ArticleNAKUMATT MLIMANI CITY YAFUNGULIWA RASMI LEO
Kampuni ya Nakumatt Holdings leo imeanza kutoa huduma katika duka lililopo Mlimani City Dar baada ya kuchukua maduka hayo ya Shoprite ya Afrika Kusini.Wafanyakazi wa kwanza wa Nakumatt Mlimani City...
View ArticleVIONGOZI VIJANA MHE. JOSHUA NASSARI NA STEPHEN MASELE KUKUTANA NA MHE.RAISI...
Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki Mhe Joshua Nassari akizungumza wakati wa tafrija ya chakula cha jioni baada ya mahafali ya kuhitimu mafunzo ya wiki tisa kwa viongozi vijana toka nchi mbalimbali za...
View Article