Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

KINGWENDU MBIONI KUELEKEA KUITWA "MHESHIMIWA"

$
0
0
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akimtambulisha mgombea ubunge jimbo la Kisarawe, Rashid Mwishehe “Kingwendu” wakati wa mkutano wa kampenzi uliofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Kisarawe mkoa wa Pwani.
Hapa mgombea Ubunge akimwaga sera zake
Na nyingine ni picha za Tukio

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

Trending Articles