Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIKI YA MWISHO WA MWEZI

Ikiwa ni jumatatu ya mwisho kwa mwezi huu wa Machi, pilika zimeanza. Wengi wiki hii wakijiandaa kwa manunuzi kabla ya sikukuu ya Pasaka. Nawatakia utafutaji mwema. Hakuna kukata tamaa katika kutafuta...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUFUATIA SAKATA LA ASKOFU GWAJIMA....

Mhashamu Polycarp Kardinal Pengo atoa msamaha

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE. RAIS KIKWETE SAFARINI MAREKANI

Mhe. Rais Kikwete amewasili nchini Marekani kufungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, MarekaniMwonekano wa Jengo hilo

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MICHEZO YA WATOTO INAYOKUZA UMOJA NA UPENDO

Michezo kama hii ya watoto katika baadhi ya jamii zetu hasa waliotawaliwa na utandawazi wanaiona kama upuuzi. Lakini Michezo hii inakuza akili, inaburudisha, inaleta umoja na upendo kutokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UCHAGUZI WA RAIS NIGERIA: Muhammadu Buhari AONYESHA KUONGOZA KURA

Wananchi wa nchi ya Nigeria wamepiga kura jumamosi na jpili wiki ilopita kumchagua raisi wa nchi yao. Waliokuwa na uvutano mgumu ni Rais wa sasa Goodluck Jonathan na mpinzani wake Muhammadu Buhari....

View Article


KUKU

I've never EVER thought this was possible! ***SHARE***Posted by KQ 103 on Friday, 18 April 2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKAO CHA BUNGE DODOMA CHAHAIRISHWA

Kikao cha Bunge kimevunjika muda mfupi uliopita baada ya kutokea vurugu za maneno kufuatia wapinzani kutaka Waziri Mkuu atoe taarifa juu ya mwenendo wa kura ya maoni ya katiba mpya April...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS NCHINI NIGERIA

Mgombea wa upinzani nchini Nigeria Muhammadu Buhari ameibuka mshindi wa kiti cha urais dhidi ya Rais Goodluck Jonathan katika uchaguzi uliofanyika Jumapili nchini humo.Kwa mujibu wa Reuters, Mhe....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJUMBE KATIKA BIASHARA

Nadhani katika pita pita zako ulishawahi kukutana na maneno kama haya. Kweli biashara ubunifu na vijimambo ndani Na hapa je mbona utapenda mwenyewe. Kweli tuna kazi kutengeneza maisha bora kwa kila...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIPOOZEO CHA MAJI YA KUNYWA: TULIKOTOKA NI MBALI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GARISSA NCHINI KENYA KATIKA HATI HATI TENA.

Watu 17 wamepoteza maisha huku takribani 30 wakijeruhiwa baada ya watu wapatao watano wanaodaiwa kufunika nyuso zao kushambulia Chuo Kikuu cha Garrissa kilichopo Kaskazini mashariki mwa Kenya.Shambulio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI WA WILAYA YA KINONDONI WAHAMASISHA UPANDAJI MITI MABWEPANDE

SERIKALI imesema waathirika wa mafuriko ya mto Msimbazi walioondoka baada ya kupewa viwanja maeneo ya Mabwepande na kurudi eneo la Msimbazi watanyang’anywa viwanja hivyo.Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWALIMU NYERERE AENZIWA HUKO MOSHI-KILIMANJARO

Viongozi wa CCM Taifa wamekuwa Mkoani Kilimanjaro kwa siku 9 kuhagua shughuli na uhai wa chama hicho. Walipokuwa Mjini Moshi walikutana na Gari alilotumia Mwalimu Nyerere katika kipindi cha uhai wake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASATA YAPIGA MARUFUKU "DISKO TOTO"

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ambalo ni msimamizi wa sekta ya Sanaa na burudani nchini linawakumbusha wamiliki na waendeshaji wa kumbi za burudani kufuata sheria, kanuni na taratibu walizopewa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IJUMAA KUU

Wakristo pote duniani leo wameungana kukumbuka mateso na kifo cha Yesu anayekadiriwa kufa tar 7 April 30 nje kidogo ya Mji wa Jerusalem. Ibada mbalimbali za kukumbuka mateso na kifo chake yamefanyika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANATAFUTWA: KUFUATIA MAUAJI YA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU HUKO GARISSA KENYA

Ripoti za hivi punde zasema kuwa zaidi ya watu 147 wameuawa katika shambulio hili. Hii ni zaidi ya unyama jamani. Binadamu wanakosa kuona thamani ya uhai wa binadamu mwenzao tena hasa hawa wanafunzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PRESIDENT KIKWETE VISITS THE BILL GATES FOUNDATION AND BOEING PLANT IN SEATTLE

Rais Kikwete na ujumbe wake wakifanya kikao kifupi na mhe.Bill Gates na jopo lake katika office yao huko Seattle USA.Rais Jakaya Mrisho Kikwete ana ujumbe wake watembelea Kiwanda cha kutengeneza ndege...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA MAGAZETINI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTANZANIA ATIA DOA SAKATA LA MAUAJI GARISSA KENYA

Mtanzania mmoja ambaye hajafahamika amekamatwa kuhusiana na shambulio la kigaidi katika Chuo Kikuu cha Garissa, Kenya.Taarifa zilizopatikana jana usiku na kutangazwa na Shirika la Utangazaji la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAMEREMETA> Mhe.REGINALD MENGI NA JACQUELINE MISS TZ 2000

Baada ya Kupata watoto mapacha wa kiume na kuwa katika mahusiano kwa muda, Mhe Reginald Mengi ameamua kuweka vitu hadharani kwa kufunga ndoa na mwandani wake Bi.Jacqueline, ndoa inayosemekana kufungwa...

View Article
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live