Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT MAGUFULI AWA CHANGAMOTO MIKOA 11 ALOPIGA KAMPENI KUTOKANA NA YAFUATAYO

KAMPENI za mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, zimemalizika katika mikoa 11 jana, kwa kumalizia katika Mkoa wa Simiyu, huku ajenda kadhaa na ubora wake wa kutawala jukwaa,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA MWENYE NYUMBA NA UCHAGUZI MKUU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT MAGUFULI AANZA KUONYESHA KUTOFAUTIANA WAZIWAZI NA MAFISADI. AMKAUSHIA...

Katika kile ambacho wachunguzi wa mambo yakisiasa wamekiita tukio la kimapinduzi namwanzo wa mabadiliko mapya ndani ya CCM,Mgombea wa Urais kwa ticket ya CCM Dr. JohnMagufuliamefanya kile ambacho Rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT.MAGUFULI KATIKA UBORA WAKE HUKO TABORA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAJENGA CHUO CHA UNADHIMU NA UKAMANDA HUKO DULUTI ARUSHA

Muonekano wa baadhi ya majengo ya Chuo cha Unadhimu na ukamandaRais Dkt.Jakaya Mrisho kikwete akitoa ushauri wakati akikagua majengo ya Chuo Cha Ukamanda na Unadhimu kilichopo eneo la Duluti nje kidogo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAZINDUA KAMPENI ZAKE ZANZIBAR

MGOMBEA Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Dk Ali Mohamed Shein jana alizindua rasmi kampeni zake, akisema hana hofu ya kushindwa na kwamba akirejea madarakani atahakikisha anayalinda kwa nguvu zake...

View Article

MHE. RAIS KIKWETE AFANYA MABADILIKO WAKUU WA MIKOA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua wakuu wawili wapya wa mikoa kujaza nafasi zilizoachwa wazi na wakuu wa Mikoa ambao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA YA MJI MPYA WA KIGAMBONI UTAKAVYOKUWA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DARAJA LA KIKWETE MTO MALAGARASI KIGOMA

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Baadhi ya watu wamekuwa wakiikashfu serikali ya CCM kwamba hakuna lolote ililofanya katika kupunguza makali ya maisha kwa wananchi. Je Daraja hili sio kitu kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JENGO PACHA LA PSPF TOWERS LAZINDULIWA JIJI DAR ES SALAAM

majengo pacha ya ghorofa 35 ya PSPF TOWERS mtaa wa Sokoine jijini Dar es salaam yaliyozindulia Septemba 16, 2015

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI - KIGOMA, LOWASSA-CHATO GEITA

Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Kigoma mjiji waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni za CCM zilizofanyika kwenye uwanja wa Kawawa, Ujiji mkoani Kigoma

View Article

VIDEO: MSIMAMO WA MWL.NYERERE KUHUSU UDINI KATIKA UONGOZI WA TANZANIA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SLOGAN YA CHADEMA (M4C) YAMPA UMAARUFU DKT.MAGUFULI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT.MAGUFULI AKIWA KIGOMA

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha Mapinduzi Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia maelfu ya wananchi waliofurika kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GEITA YAMPOKEA VIZURI MGOMBEA MWENZA UKAWA

Mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akiwasili katika mkutano wa kampeni katika jimbo la Busanda mkoani Geita jana . Mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNAZITAFSIRIJE PICHA HIZI ZA WAGOMBEA URAISI?

Mhe. Edward LowassaMhe. John Magufuli

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI WAASWA KUTUNZA MIUNDOMBINU YA DART

Muonekano wa kituo cha kimaraNa Ally Daud- MAELEZO.Wafanyakazi wa Mradi wa Mabasi ya endayo haraka Dar es salaam (DART ),Wakalawa Barabara(TANROADS) pamoja na Umoja wa wamiliki wa Daladala Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT MAGUFULI AHANI MSIBA WA MWALIMU WAKE WA SHULE YA MSINGI(maelezo,picha na...

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akimfariji mama Paskazia Mufuruki mjane wa Marehemu mwalimu Colner Pastor wakati alipohani msiba huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTUNDU WA WATOTO

Umemuacha nyumbani dakika chache unarudi na kumkuta kabandua laptop hivi...!!!UTAMFANYAJE...!!!!?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUJITAMBUA MUHIMU

unapokuwa uanshabikia kitu fulani na kupewa bango inabidi usome maneno hayo kabla hujaonyesha watu vinginevyo unakuwa haueleweki. Hii ilitokea Bagamoyo.

View Article
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live