Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

REAL MADRID MABINGWA CHAMPIONS LEAGUE KWA MARA YA !!

Real Madrid imetawazwa mabingwa wa Champions League baada ya kuitungua kwa Penati 5-3 timu ya Atletico Madrid

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI KUPIGA MARUFUKU MIFUKO YA PLASTIK NA POMBE ZA VIROBA

Mifuko ya plastiki inayofungasha pombe maarufu kama ‘viroba’ imepigwa marufuku na Serikali kuanzia mwakani. Sambamba na hilo Serikali pia, imepiga marufuku moja kwa moja utengenezaji, usambazaji,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI

Mhe.Jaji Shaaban Ali Lila (Jaji Mahakama ya Rufani)Mhe Mama Anna Makinda (NHIF)Mhe Prof Apollinaria Elikana Pereka (DIT)

View Article

YALIYOJIRI BUNGENI LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWALIMU NYERERE KATIKA USAFIRI WA UNYENYEKEVU

Hapa kwetu Tanzania Julius Nyerere ni mfano wa viongozi walioishi maisha ya kadiri. Mwalimu aliishi kama alivyohubiri. Ni mfano wa kuigwa.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI WA CHUO KIKUU DAR-UDSM WAFANYA MGOMO

Wakati ambapo Wanafunzi wanaosomea kozi ya Ualimu wa Sayansi katika Chuo Kikuu cha Dodoma kuamriwa waondoke Chuoni hapo, leo baadhi ya wanafunzi wa UDSM wamefanya mgomo kudai fedhha za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KWA MAUAJI HAYA,TANZANIA TUNAELEKEA WAPI?

View Article

MHE.RAIS MAGUFULI: "TUACHE SIASA KWENYE MAKOSA"

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHUO KIKUU DAR ES SALAAM KUPATA MAKTABA MPYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Chuo hicho Profesa Rwekaza Mukandala, Balozi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATUNI YA LEO KUHUSU "WASANII FULANI"

Hivi karibuni gazeti moja la udaku liliwachora mastaa wa kike wenye uhusiano na mastaa wa Bongo wanaowazidi umri. Mastaa hao ni pamoja na Jacqueline Wolper aliyechorwa akimnywesha uji mpenzi wa...

View Article

MHE RAIS MAGUFULI ACHUKIZWA NA UKIUKWAJI WA MATUMISI SAHIHI YA MRADI WA BRT DAR

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UBUNIFU KATIKA BIASHARA

Mpangilio wa bidhaa katika eneo la biashara ni kivutio kikubwa kwa wateja/wanunuzi. Nawashauri wafanyabiashara mbalimbali kuwa wabunifu

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIJUE "DARAJA LA MUNGU" LILILOPO RUNGWE MKOANI MBEYA

Daraja hili lililopo nje kidogo ya Tukuyu Wilayani Runwe huko Mbeya ni moja ya maajabu ya Mungu. Historia ya watu wa maeneo hayo yasema kuwa hapo mwanzo hakukuwa na daraja sehemu hiyo na hivyo walikuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

R.I.P MOHAMMED ALI

Usiku wa kuamkia leo ulimwengu umefikiwa na habari za kifo cha mwanamasumbwi mahiri kupata kutokea hapa duniani, ni Muhammad Ali.Muhammad Ali, atakumbukwa kama shujaa wa wanyonge wa dunia. Alikuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAENDELEO YA MAKAZI AFRIKA; NIGERIA KUJENGA DUBAI YAO JIJINI ABUJA

Naibu Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angelina Mabula yupo nchini Nigeria kuhudhuria kikao cha Mkutano Mkuu wa 35 wa Shelter Afrique Jijini Abuja. Tanzania imechaguliwa kuwa mwenyeji wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AHUDHURIA IBADA KANISA LA MZEE WA UPAKO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo wakati akiagana na Mchungaji Anthony Lusekelo‘Mzee wa Upako’ katika kanisa lake la Maombezi lililopo Ubungo Kibangu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATUNI YA LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND PLATNUMZ ACHANGIA MADAWATI 600 JIJINI DAR ES SALAAM

Kundi la WCB Wasafi wakiongozwa na Rais wa kundi hilo, Mwanamuziki Diamond Platnumz wakiwasili katika ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kwa ajili ya tukio hilo la kutoa machango wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"HILO NALO NENO"

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA MAUAJI YA KIKATILI MWANZA NA TANGA; VIKOSI VYAINGIA MASKANI KUSAKA...

Watu watatu wanaosadikiwa kuwa majambazi,wameuawa katika majibizano ya risasi na askari polisi mkoani Mwanza,alfajiri ya kuamkia jana jumapili katika mapango ya mlima wa Utemini yaliyopo kata ya...

View Article
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live