Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

GAZETI LA MSETO LAFUNGIWA MIAKA 3 KWA KUKIUKA MAADILI YA UANDISHI

$
0
0
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu kulifungia gazeti la Mseto kwa miezi 36 leo Agosti 11,2016 katika ukumbi wa Wizara hiyo Jijini Dar es Salaam.
Na huu ndo ukurasa ulowasibu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2089

Trending Articles