Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALI HII MPAKA LINI?

Abiria wakigombania kuingia kuingia kwenye daladala hadi wengine wanapitia mlango wa dereva. Hii ni hatari na sio jambo la busara. Tunaomba Serikali izidi kuongeza nguvu kutatua tatizo hili

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKATILI DHIDI YA NDUGU ZETU ALBINO:MAKALI YA SHERIA

Na hawa wanne hapa chini wamehukumiwa kifo kufuatia kumuua Zawadi Magimbu (32) mlemavu wa ngozi huko Geita.Kutoka kushoto ni Nasoro Charles, Singu Siantemi, Masaru Kahindi na Ndahanya Lumola. Picha na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATOTO WA DOT (.) COM

BABA: Mwanangu mbona leo umewahi kuamka kwenda shule kulikoni?...MTOTO: Namuwahi mwalimu wa bagia!BABA: Mjinga sana wewe badala yakuwahi elimu wewe unawahi bagia!! MTOTO: Baba unajua kiukweli kabìsa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KITUO CHA MATANGAZO AZAM TV CHAZINDULIWA RASMI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitangaza rasmi kuzinduliwa kwa studio mpya za stesheni ya Azam TV Tabata Relini jijini Dar es salaam leo Machi 6, 2015. Pamoja naye kwenye kilinge cha utangazaji ni mmiliki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAKTARI FEKI, ASKARI FEKI, SASA "PADRE FEKI"

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro, linamshikilia mkazi wa Manispaa hiyo, Josephat Asenga (47), mwenye taaluma ya uhasibu, kwa tuhuma za kujifanya Padri.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BODABODA MBEYA WALALAMIKA

Bodaboda wa Mjini Mbeya wameilalamikia serikali kwamba inawatwika mzigo mkubwa kwa ushuru mbalimbali na pia tamko la hivi karibuni kwamba wanunue mtungi wa gesi ya zimamoto.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKU YA WANAWAKE DUNIANI: NANI KAMA MAMA?

Tunawapongeza wanawake wote popote walipo kwa mchango wao katika jamii,matunzo,malezi, ustahimilivu, busara zao na faraja zao. Kweli mwanamke ni kiumbe muhimu katika maisha. Nani kama mama?Tuzidi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA KIDEDEA LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GAZETI HABARI LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VITUKO VYA LEO

Ukiangalia kwa haraka haraka huyu jamaa na hii Tshirt yake ya mwaka 2015, unaweza hisi katokea mkoa gani hapa Tanzania???? Huyu nae katoa mpya. Nivea imekuwa Yoghurt.... Jamani ASAS LTD jitahidini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SASA WATEJA WA VODACOM HUDUMA ZA MPESA ZAUNGANISHWA NA KENYA

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza, akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi rasmi wa kutuma na kupokea pesa nchini Kenya kwa njia ya M-PESA. Uzinduzi huo ulifanyika jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USHABIKI WA MPIRA WA MIGUU.

Hii ni kutokana na Mechi ya hivi karibuni kati ya Man U na Arsenal ambapo Man U ilizamishwa 2-1 ambapo Man U ilitolewa Kombe la FA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE. ZITTO KABWE AVULIWA UANACHAMA-CHADEMA

Baada ya Mahakama Kuu Tanzania kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali kesi iliyokuwa imefunguliwa na Zito Kabwe dhidi ya Chama Cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) ya kuhoji uhalali wa uanachama wake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KILIMANJARO NA ARUSHA YAPANIA KUKIDHI UHABA WA UMEME UMEME IFIKAPO JUNI 2015

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ikiendelea na ziara katika eneo la kituo cha kupooza na kusambaza umeme kilichopo Njiro nje kidogo ya jiji la Arusha.Meneja Mradi katika Kituo cha Kupooza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATUNI YA LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI MBAYA YA BASI LA ABIRIA IRINGA

Taarifa za awali kutoka jeshi la polisi mkoani Iringa zinaeleza kuwa basi la kampuni Majinja lenye usajili wa namba T438 CDE lililolaliwa na Lori lilikuwa limebeba jumla ya watu 49, idadi hiyo ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UVUMILIVU UNAPOFIKIA KIKOMO......

MKURUGENZI wa Jiji la Mwanza, Halifa Hassan Hida ameingia katika kashfa nzito baada ya mwanaharakati aliyefahamika kwa jina la John Masweta kutinga kwenye geti kuu la Makao Makuu ya Jiji la Mwanza jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TULIKOTOKA NI MBALI: MTAZAME HAPA DIAMOND PLATNUMZ

Hapana chezea mtoto na andazi au kinyango cha nyama;anadekaje!!!!Pesa sabuni ya roho asikwambie mtu.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPANA CHEZEA HISABATI

Picha hizi zanikumbusha sana mwanzo wa kuanza kujifunza kuhesabu unapoingia Darasa la kwanza kipindi hicho. Bila "visude" (Vizibo vya chupa ya soda au ya bila) au wakati mwingine njiti, hesabu ilikuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJUMBE WA LEO

View Article
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live