Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live

MHE RAIS MAGUFULI AKIHUTUBIA KWENYE KILELE CHA MIAKA 39 YA CCM

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AHADI YA MHE:RAIS MAGUFULI KWA JAJI MKUU NA MAHAKAMA YAKAMILIKA

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango (katikati) akimkabidhi Mtendaji Mkuu wa Mahakama Hussein Katanga (kushoto) mfano wa hundi wakati wa makabidhiano ya fedha hizo mbele ya waandishi wa habari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKE WA RAIS MAMA JANETH MAGUFULI AMJULIA HALI MUFTI MKUU HOSPITALINI

Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akimjulia hali Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry aliyelazwa kwa matibabu katika taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete katika hospitali ya Taifa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHERIA MSUMENO: MAWAZIRI 2 WA AWAMU YA RAIS MKAPA WAANZA KIFUNGO CHA...

Mawaziri wa Serikali ya AWAMU ya Tatu Mramba na Yona walipowasili leo Hospitali ya Palestine kuanza usafi wa mazingira kama part ya adhabu yao ya kifungo cha nje leoYona, Mramba wakabidhiwa vifaa vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

INAKUWAJE HASIRA ZENU MWELEKEZE KWA WANYAMA?

Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvui Mh.Mwigulu Nchemba sambamba na Mbunge wa jimbo la Mvomero Mh Sadick Murad (mwenye shati ya drafti),ikiwemo na Kamati ya Ulinzi na Usalama sambamba na wananchi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMU YA TAIFA YA DRC YAPEWA ZAWADI NONO BAADA YA USHINDI

Timu ya Taifa ya DRC baada ya ushindi wa Kombe la Afrika yaliyofanyika Kigali/Rwanda waliporudi nyumbani kwao wakapokelewa na Rais wao Mhe.Josepph Kabila na wakakabidhiwa zawadi ya Prado kwa kila...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UDAKU: AKIGEUKA TU ANALO LA KICHWA

Mchepuko sio dili, baki njia kuu

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIZAAZAA CHA MV:MAGOGONI HAPO JANA

Hali ya taharuki ilijitokeya jana baada ya Kivuko cha Mv.Magogoni kupata hitilafu kikiwa majini.Hata hivyo hakikusababisha ajali. Na abiria wote walitoka salama.Ila nakuwekea hii picha nyingine hapa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KWA WALE WAPENZI WA SOKA; MECHI KALI ZA WEEKEND HII

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKU 100 ZA MHE:RAIS MAGUFULI IKULU

View Article

VIDEO: MHE BALOZI OMBENI SEFUE NA SIKU 100 ZA MHE. RAIS MAGUFULI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAULI YA KUTIA MOYO YA MHE.RAIS MAGUFULI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOMOA BOMOA YAHAMIA SINZA

Huku Sinza ni vilio na taharuki. Serikali inaweka X kwenye maeneo ya wazi ambayo watu wamejenga nyumba za makazi au Biashara kwa kuvamia bila vibali

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPPY VALENTINE WADAU WANGU WOTE

View Article

VIDEO: HOTUBA YA MHE RAIS MAGUFULI ALIPOONGEA NA WAZEE WA DAR ES SALAAM

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VALENTINE IMESHAPITA SASA TURUDI KAZINI KUIJENGA NCHI NA SISI WENYEWE

Wafanyabiashara hawa wameonyesha kupenda sana kazi yao hasa kwa utanashati. Biashara yahitaji mazingira mazuri ya mfanyabiashara ili kuvutia wanunuzi. Pigeni kazi kina kaka.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE:RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA MABALOZI § NA WATUMISHI WENGINE SERIKALINI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa mabalozi watatu katika Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa.Rais Magufuli...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AGIZO LA MHE.RAIS MAGUFULI YAANZA KUTEKELEZWA MUHIMBILI

AGIZO la Rais John Magufuli la kuibadilisha jengo la maofisa wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto lililopo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, limetelekezwa baada ya jana maofisa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA MFANO MHE: UMMY MWALIMU

Baada ya Mhe.Rais Magufuli kuagiya jengo moja la Utawala katika Hospitali ya Muhimbili ligeuzwe wodi ya Kinamama Wazazi, Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia,watoto,Wazee na Walemavu Mhe. Ummy Mwalimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPANUZI WA BARABARA YA MWENGE - MOROCCO WAENDELEA VIZURI

Sehemu ya Barabara ya Morocco kwenda Mwenge ikiwa katika hatua ya kutolewa tabaka ya udongo wa chini na kuwekwa tabaka ya udongo mpya kama inavyooenekana katika picha leo jijini Dar es Salaam .Kipande...

View Article
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live