Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA: OPERESHENI UKUTA IPO PALE PALE SEPTEMBA MOSI

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeendelea kushikilia msimamo wa kuendeleza operesheni UKUTA Septemba mosi mwaka huu.Mbunge wa Kawe, Halima Mdee, alisema kwenye Baraza la Mashauriano la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHINDANO YA OLIMPIKI RIO 2016 YAMALIZIKA HUKO BRAZIL

Rio imemaliza michuano ya Olimpiki kwa shamrashamra za aina yake, licha ya mvua kuwanyeshea maelfu wanamichezo pamoja na watazamaji waliofika kushuhudia michezo hiyo kutoka maeneo mbalimbali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KICHEKO CHA LEO: INAYOSTAHILI KUITWA "BREAKFAST"

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TSHIRTS ZA KUHAMASISHA "UKUTA" ZAKAMATWA JIJINI DAR

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema limejiandaa kudhibiti maandamano ya Umoja wa Kupambana na Udikteta Tanzania (Ukuta) yaliyoandaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE.LOWASSA ASISITIZA "UKUTA"

Leo nimezunguka katika majimbo ya Mbeya Vijijini ,Vwawa na Tunduma nikiwaeleza kuhusu Operation UKUTA,UKUTA si fujo , UKUTA si machafuko na hatuna haja ya kufanya fujo , tunapiga kelele dhidi ya...

View Article


VIDEO: MBUNGE WA ARUSHA MHE GODBLESS LEMA(CHADEMA) ASEMA HAYA KUELEKEA "UKUTA"

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UDAKU WA LEO

"Aliyekutoa mwiba wa makalio mthamini, ndiye anakupa jeuri ya kukaa kitako ukautoa mwiba wa mguuni". - Bi Hindu

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE LOWASSA ASHINDWA KUFANYA KIKAO HUKO MBEYA

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Edward Lowassa leo amezuiwa na Polisi kufanya kikao cha ndani na wanachama cha chama hicho Mbarali mkoani Mbeya.Aliyekuwa Waziri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAPI TUNAELEKEA?: ASKARI POLISI WAUAWA NA MAJAMBAZI WAKIWA KATIKA LINDO CRDB...

Jeshi la Polisi limethibitisha kuwa jumla ya askari wake wanne wameuawa usiku wa kuamkia leo baada ya majambazi kuvamia tawi la benki ya CRDB lililopo Mbande, wilayani Temeke, Dar es Salaam.Akizungumza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKA NA WAGENI

Wageni wa siku hizi wazuri, sio wasumbufu kama wa zamani. Wakifika kwako hawaulizi chai ya rangi, juice wala soda, bali utasikia, "UNA CHARGER YA PIN NDOGO?"

View Article

VIDEO: WASANII WAUNGANA KUPINGA "UKUTA"

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HONGERA DIAMOND KWA KUITANGAZA TANZANIA

Endelea kuwaambia popote uendapo "Wanakaribishwa Tanzania"Diamond Platnumz alipowasili nchini Kenya jana

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUBILEI YA NDOA YA MHE MZEE MKAPA YAWAKUTANISHA MHE RAIS MAGUFULI NA MHE LOWASSA

Rais Magufuli amesema anashukuru hafla ya Jubilei ya Miaka 50 ya ndoa ya Rais mstaafu Benjamin Mkapa kuleta muujiza wa kukutana na kupeana mkono na Waziri Mkuu wa zamani, Mhe Edward Lowassa

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA MAGAZETINI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI WA CHADEMA WASHINDWA KUFANYA KIKAO CHAO LEO

Viongozi wa Chadema wamekamatwa na polisi na kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam kwa ajili ya mahojiano.Akizungumzia kukamatwa kwa viongozi hao Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE AUGUSTINE MREMA AWAOMBEA KAZI MATEJA

Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Palore nchini, Dkt. Augustino Lyatonga Mrema, amemwomba Rais Dkt. John Pombe Magufuli kuongeza maeneo ya kutoa tiba ya kuachana na matumizi ya dawa za kulevya.Sambamba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NDEGE ZILIZONUNULIWA NA TANZANIA HUKO CANADA KUWASILI NCHINI MUDA WOWOTE...

Hii ndio moja ya ndege mpya ya Air Tanzania iliyo tayari kwa kila kitu.Hapa ipo kwenye Hangar(eneo la matengenezo ya ndege) nchini Canada tayari kwa kuanza safari ya kuja Tanzania.Wakati wowote na siku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bw.GERSON MSIGWA ATHIBITISHWA NA RAIS MAGUFULI KUWA MKURUGENZI WA MAWASILIANO...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amemthibitisha Bw. Gerson Partinus Msigwa kuwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano ya Rais, (Director of Presidential Communication -...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA WASITISHA MAANDAMANO YA UKUTA

Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo,Freeman Mbowe ametangaza kusitishwa kwa maandamano ya Oparesheni UKUTA yaliyokuwa yamepangwa kufanyika kesho nchi nzima hadi tarehe moja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE RAIS MAGUFULI ATEUA KATIBU MKUU MPYA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

View Article
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live