Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUPATWA KWA JUA Tar 1.9.2016

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe.Amos Makalla na viongozi wengine wakiangalia kupatwa kwa jua huko Rujewa, MbeyaWakati leo watu mbalimbali duniani walikuwa wakishuhudia kupatwa kwa jua, kwa huyu nadhani ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAWAZA KUBADILI FEDHA/NOTI ZAKE ILI KUWABANA MAFISADI WANAOFICHA HELA

Katika kile kinachoonekana kutaka kuwadhibiti watu wanaodaiwa kuficha fedha,Mhe. Rais John Magufuli amesema kwa mamlaka aliyonayo anaweza kuamua kubadili fedha ili zile zinazofichwa na watu hao wakose...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE RAIS JOHN MAGUFULI ZIARANI PEMBA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Asubuhi ya leo tarehe 02 Septemba, 2016 amewasili Kisiwani Pemba ambapo majira ya Alasiri anatarajiwa kuzungumza na wananchi wa Pemba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UDAKU ZONE: HATIMAE SHAMSA FORD AFUNGA NDOA NA CHIDI MAPENZI

STAA wa Bongo filamu nchini, Shamsa Ford amefunga ndoa na Rashidi Said ‘Chidi Mapenzi’ ambaye ni mfanyabiashara wa maduka ya nguo.Sherehe za ndoa hiyo zilifanyika nyumbani kwa wazazi wa Shamsa eneo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE RAIS MAGUFULI AKERWA NA KITENDO CHA MAALIM SEIF KUTOSHIKA MKONO NA MHE...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BANGO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NENO LA LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA TERESA WA CALCUTA ATANGAZWA MTAKATIFU

Leo Kanisa Katoliki kupitia kiongozi wake Mkuu duniani Baba Mtakatifu Francis 1 amemtangaza Mama Teresa wa Calcuta raia wa Albania kuwa MTAKATIFU. Raia huyo wa Albania ambaye alifariki mwaka wa 1997...

View Article


VIDEO: JE WAMJUA MCHEKESHAJI "BWAKILA"

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAKWATA YATOA TAREHE YA MAADHIMISHO YA SIKUKUU YA EID EL- ADH-HA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFANO HAI WA "HAPA KAZI TU"

imekuwa ni tabia siku hizi kukuta watu wengi wenye nguvu, wa kike kwa wa kiume kuwakuta wamekaa vijiweni au maeneo mengine wakipiga story muda ambao walipaswa wawe wanajishughulisha na kazi za kuwapa...

View Article

MHE RAIS MAGUFULI ATEMBELEA ENEO LINALOJENGWA HOSTELI ZA CHUO KIKUU DAR

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI WA DARASA LA SABA WAFANYA MITIHANI YA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI NCHINI

Leo Wanafunzi wa Darasa la saba pote nchini wameanza kufanya mitihani yao ya kuhitimu Shule ya Msingi. Tunawatakia mafanikio mema na ufaulu mzuri wa mitihani hiyo.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDIO "MBEGE"; ASILI YAKE KILIMANJARO

Mbege ni kinywaji asilia cha wakazi wa Mkoa wa Kilimanjaro. Ni kinywaji chenye kilevi na hivyo chatumiwa tu na watu wanaozidi umri wa miaka 18. Katika kunywa kinywaji hiki, wakazi hawa kiasilia hutumia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS MHE SAMIA SULUHU HASSAN AZINDUA HOTEL YA NYOTA 5 YA RAMADA...

Makamu wa Rais Mhe.Mama Samia Suluhu, leo amezindua hoteli nzuri na maarufu ya Nyota 5 iitwayo Ramada Encore Jijini Dar. Katika uzinduzi huo alikuwepo pia Mkurugenzi Mtendaji wa hoteli hiyo Mhe.Abdul...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UBAKAJI HUU UNATISHA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"SINA MPANGO WA KUHAMA CHAMA"-PROFESA LIPUMBA

Profesa Ibrahim Lipumba aliyekuwa mwenyekiti wa CUF, amesema hana mpango wa kuhamia chama chochote pia hana mpango wa kuanzisha chama chake.Profesa Lipumba amesema hayo katika kipindi cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TERMINAL 3 J.K NYERERE INTERNATIONAL AIRPORT KATIKA PICHA

Muonekano wa ndani wa jengo jipya la Abiria la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere, jijini Dar es salaam ambalo bado linaendelea na Ujenzi.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TETEMEKO LA ARDHI BUKOBA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAISLAM ZAIDI YA MILIONI MOJA NA NUSU WAANZA IBADA YA HIJJA HUKO SAUDI ARABIA

Ibada ya Hijja ya kila mwaka inayotekelezwa na Waislamu imeanza Jumamosi (10.09.2016) nchini Saudi Arabia huku hatua kali za kiusalama zikiwa zimeimarishwa kwa takriban mahujaji milioni 1.5...

View Article
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live