Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIFA ZA MGOMBEA URAISI KWA TIKETI YA CCM ZAAINISHWA

1. Anapaswa kuwa na uwezo wa kuliongoza Taifa kwa kuzingatia uzoefu alionaokatika uongozi wa shughuli za Serikali, umma na taasisi.2. Awe mwadilifu, mwenye hekima na busara.3. Awe na elimu ya kiwango...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRENI YA MWENDO KASI KULIKO ZOTE DUNIANI HUKO JAPAN

Treni ya Japan ya Shirika la Central Japan Railway iendayo kasi, imevunja rekodi yake duniani kwa kufikia mwendo wa kilomita 603 kwa saa, sawa na maili 374 kwa saa katika majaribio yake karibu na Mlima...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATAMBUE WATUHUMIWA SUGU WA KUPORA WAGENI NA WANAWAKE MIKOBA/POCHI

Watuhumiwa wanne wamekamatwa jijini Dar es Salaam katika makutano ya barabara ya Bibi Titi na Ohio karibu na Hotel ya Serena baada ya kumpora raia wa kigeni wakiwa na gari dogo rangi ya kijivu yenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAPENZI WA MPIRA WA MIGUU: MECHI ZA LEO JTANO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAALIMU KWA ADHABU HIZI MNATUULIA WATOTO

Mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Matui wilayani Kiteto, amefariki dunia darasani baada ya kudaiwa kuchapwa viboko na walimu watatu wa shule hiyo, kwa kile kilichodaiwa kufeli...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKITAKA KUITWA "BABY" JIANDAE KWA HAYA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU: MNAOWANIA UONGOZI JIANDAENI KUTULETEA UWIANO WA...

1. MICHEZO YA WATOTOWatoto wanahitaji maeneo ya kuchezea. Sehemu nyingi zilizokuwa wazi zimetengwa kwa ajili hiyo zimeingilia na kutumika vinginevyo.Wakati hao wa mazingira magumu wanacheza peku kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA WILAYA WA KINONDONI AONYESHA KUTHAMINI VIPAJI

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Makonda na Kampeni ya vipaji inaitwa "Kipaji chako Ajira yako" fomu za kushiriki kwa Vijana zimeshaanza kutolewa kwenye ofisi za Kata za Serikali ya mitaa za Wilaya ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUSINI MWA TANZANIA KUANZA KUNEEMEKA NA MIRADI YA DANGOTE

Msafara kutoka kijiji cha Mgao atakako jenga BandariNdege ya Alhaji Dangote katika Uwanja wa Ndege Mtwara baada ya kutua alipokuwa naenda kutembelea eneo la fukwe atakakojenga Bandari.Kiwanda cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JIJI LA DAR ES SALAAM LAZIDI KUCHANUA

Taswira kutokea maeneo ya Posta DarMawasiliano Tower pembeni ya Mandela Road (Ubungo/Mwenge)Twin Towers (Magorofa Pacha) ya Benki Kuu ya TanzaniaJengo la Kuongoza Meli lililopo maeneo ya Ferry DarUhuru...

View Article

SHEREHE ZA MUUNGANO ZAFANA

Rais Jakaya Kikwete hapojana aliongoza sherehe za miaka 51 ya Muungano waTanganyika na Zanzibar. Hii nisherehe yake ya mwisho kama rais wa Tanzania maana baada ya Uchaguzi wa Oktoba tutakuwa na...

View Article

TETEMEKOLA ARDHI HUKO NEPAL LAUA ZAIDI YA 4,000

watu wanaokadiriwa 4,000wamefariki dunia kufuatia tetemeko la ardhi huko nchini Nepal.Maeneno mbalimbali ya Makumbusho katika Mji wa Kathmandu yameharibiwa kabisa

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA MABINGWA BARA 2015

timu yaYanga imetwaa Ubingwa 2015 baada ya kuichapa Polisi kwa magoli 5 kwa 1

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YALIYOJIRI SHEREHE ZA MEI MOSI 2015

Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi mei mosi mwaka huu wa 2015 kitaifa yamefanyika jijini Mwanza katika Uwanja wa CCM Kirumba Jiji la Mwanzaambapo Mgeni rasmi katika sherehe hizi ni Mh. Dr. Rais Jakaya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NDONDI: FLOYD MAYWEATHER AMDUNDA MANNY PACQUIAO

Usiku wa kuamkia leo limefanyika Pambano kali la Ndondi kati ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao huko Las Vegas Marekani ambapo Mayweather kachukua mkanda huo wa ushindi.Hapa wakipozi mbele ya...

View Article


MGOMOWA MADREVA WALETA KIZAAZAA SEKTA YA USAFIRI NCHINI

Leo tena madreva wa vyombo mbalimbali vya abiria wamegoma kusafirisha abiria wakitaka matakwa yao yatekelezwe.Abiria wengi wakiwemo wanafunzi hasa katika Jiji la Dar es Salaam wamelazimika kutembea kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO NA HABARI ZA MGOMO WA MADEREVA

Hata hivyo mgomo huo umemaliziaka leo baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kuongea na madreva hao na kuwajulisha kuhusu kamati iliyoundwa kushughulikia suala lao na kutolewa majibu ndani ya siku 10

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MVUA ZA MASIKA ZALETA MAFURIKO ZANZIBAR

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAYERN MUNICH WATOLEWA JASHO NA BARCELONA KOMBE LA UEFA

Timu ya Bayern Munich ya huko Ujerumani imefungwa bao 3 kwa bila na Timu ya Barcelona katika mchezo wa nusu fainali. Mabao 2 yalifungwa na mshambuliaji makini Lionel Mess na la tatu lilifungwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUNADUMISHA MILA

Wananchi wa kabila la Maasai wakiruka juu katika moja ya michezo yao ya kijadi. Je wewe unadumisha mila zilizo njema ili upate cha kuwarithisha watoto na kizazi kijacho?Waweza pia kudumisha mila kwa...

View Article
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live