Quantcast
Channel: KARIBU NYUMBANI
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MVUA ZA MASIKA NA ADHA ZAKE

Mvua za masika zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini zimekuwa na manufaa kwa wengine, huku wengi wa wananchi hasa Jijini Dar es Salaam wakikumbwa na adha nyingi. Usafiri umekuwa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASAF YAWAJIA JUU BAADHI YA WANAUME SINGIDA

Mwenyekiti wa kijiji cha Mwanga tarafa ya Nduguti wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Jackson Mkoma, akifungua mkutano wa tathmini ya matumizi ya fedha za TASAF awamu ya nne uliofanyika kwenye viwanja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YALIYOJIRI MAGAZETINI

KUTOKANA NA MVUA HALI YA USAFIRI JIJINI DAR IMEKUWA KERO KAMA HIVI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA 20 WA KIKAO CHA 10 CHA BUNGE KUANZA 12 MEI 2015,

Bunge la Juamhuri ya Muungano wa Tanzania litaanza kikao chao cha Bajeti tar 12 Mei 2015 ila wabunge wote wanatarajiwa kufika Dodoma hapo tar 10 Mei/ Kikao hiki ni cha mwisho kabla ya Bunge kuvunjwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHERIA KUHUSU MAKOSA YA MITANDAONI

TAARIFA YA MHE. PROF. MAKAME MBARAWA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KUHUSU SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO YA MWAKA 2015 KWA WAANDISHI WA HABARI TAREHE 8 MEI,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALIKOTOKA NI MBALI @ WEMA SEPETU

Picha yake zamani hizoooooHapa alipotwaa Taji la Miss Tanzania 2006 (Pembeni yake ni Jokate Mwogelo na Lisa Jansen)Na hapa akiwa katika vazi la heshima la kitenge miaka ya hivi karibuni

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASI LA DAR EXPRESS LAWAKA MOTO LIKIWA SAFARINI

Linahesabika kama tukio jingine la Basi kuwaka moto katika rekodi za mabasi yaliyowaka moto yakiwa safarini nchini Tanzania wakati yakiwa na abiria.Taarifa zilizothibitishwa na Kamanda wa Polisi Pwani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE DAVID CAMEROON ACHAGULIWA TENA KUWA WAZIRI MKUU UINGEREZA

Waziri Mkuu wa Uingereza kupitia chama cha Conservative, amechaguliwa tena kushika nafasi hiyo katika uchaguzi uliofanyika hapo jana. Alishinda kwa kishindo cha kura 331 huku wapinzani wake Ed...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUNAMSHUKURU MUNGU KWA YOTE: JANA MVUA SANA LEO JUA KALI

Kwa wiki nzima sasa maeneo mengi hasa jijini Dar kumekuwa na mvua ilosababisha adha nyingi za maji kufurika. Ila leo jua limewaka hata ukiona watu wamejikinga kwa mwavuli sio sababu ya mvua bali jua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OPERESHENI TOKOMEZA YAWASAFISHA MAWAZIRI

1.1 Tarehe 01/05/2014, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete aliunda Tume ya Uchunguzi kuhusu malalamiko yaliyotokana na utekelezaji wa Operesheni Tokomeza. Aliteua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKU YA MAMA DUNIAN I: HAPPY MOTHER'S DAY

Mama alijitahidi kula vyakula bora,kulala kwenye chandarua, kula mbogamboga za majani, na matunda, alijizuia kufanya kazingumu ili wewe uzaliwe salama. Ukakaa tumboni kwake miezi tisa, siku yake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BURUNDI HALI SI SHWARI

Mhe.Pierre Nkurunziza, Raisi wa BurundiSerikali ya Burundi imewataka waandamanaji katika mji mkuu wa Burundi Bujumbura kusitisha maandamano yao dhidi ya hatua ya rais wa taifa hilo Pierre Nkurunziza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA ZA MHE. RAIS KIKWETE AKIWA ZIARANI NCHINI ALGERIA

Akikaribishwa na Waziri Mkuu wa Algeria Mhe. Abdelmalik sellal kuingia katika Ikulu ya nchi hiyo huko Zerald.kiweka Shada la Maua katika Kaburi la Mashujaa wa Algeria.Mhe. Rais Kikwete yupo nchini humo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KITU HIKI ASILI YAKE UCHAGGANI KILIMANJARO

Taswira ikionyesha wenyeji wa Kilimanjaro wakikosha roho zao na kitu "Mbege" tena kwenye kifaa asilia kiitwacho "Kata"

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUNATARAJIA VIONGOZI WATAKAOTUTOA HUKU...

Wananchi wengi wa Tanzania bado wanaishi katika mazingira magumu sana. Kuna matabaka kati ya walio nacho na wasionacho. Hali hii imepelekea wengine kuishi maisha mazuri sana na wengine kuishi bila...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MVUA HIZI NA TAFRANI KATIKA FAMILIA

BABA:- Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumbani, daraja limevunjika na kutoka Morogoro kurudi Dar haiwezekaniMAMA:- Mume wangu Morogoro ulienda bila kuniaga! ?BABA:- Ilikuwa ni ghafla...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUNGE LA BAJETI 2015/2016 LAANZA LEO MJINI DODOMA

Mkutano wa 20 na wa mwisho wa Bunge la 10 ambalo litapitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka 2015/16 tayari umeanza mjini Dodoma asubuhi hii. Wabunge watachangia bajeti za wizara na Bajeti Kuu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJUMBE KWA JK KUTOKA KWA MARAFIKI WA LOWASSA

Vijana hawa Marafiki wa Mhe. Edward Lowassa walikwea Mlima Kilimanjaro na walipofika kileleni (UHURU PEAK) baada ya siku 5, walipiga picha hii kuonyesha ujumbe huu kwa Mhe.Rais Jakaya Kikwete.Kundi la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HABARI NJEMA KUTOKA TRL KWA WATUMIAJI WA STESHENI YA TRENI NGURUKA-KIGOMA

Uongozi wa TRL unapenda kuwatangazia watumiaji wote wa usafiri wa Treni DAR/KIGOMA/DAR kuwa kuanzia Mei 17, 2015 Treni iendayo Kigoma ikitokea Dar na kurudi itakuwa ikisimama pia katika kituo cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UEFA CHAMPIONS LEAGUE: BAYERN MUNICH YATOLEWA NA BARCELONA NUSU FAINALI

Timu ya Bayern Munich ya Ujerumani ambayo ilikuwa ikiwania Kombe la UEFA Champions imetolewa leo na wakali wa Barcelona hata baada ya kushinda 3-2. Sasa Barcelona wanasubirili mshindi wa kesho kati ya...

View Article
Browsing all 2089 articles
Browse latest View live